Mafundi wa uhakika wa king'amuzi chako unachotumia limekuwa tatizo kubwa hasa kwa baadhi ya maeneo,hii imepelekea baadhi ya wateja kuona yakwamba king'amuzi anachotumia ni tatizo kwakuwa hakupata Fundi makini ambaye angeweza kumfungia ama kumrekebishia ipasavyo.. Matokeo yake picha kuganda ganda ama kupotea ni jambo la kawaida sana..
Fundi Makini anapaswa kuwa na vifaa vilivyo kamilika ukiachilia spana zote muhimu pia anapaswa kuwa na Drill machine kwa ajili ya kutombolea na kingine anapaswa kuwa na kifaa cha kutafutia Signal ambacho kinaitwa Signal Finder!!
Fundi Makini akikufungia ama kukurekebishia atakupa uhakika wa miezi mitatu,maana yake ndani ya miezi mitatu baada ya kukitibu king'amuzi chako kikisumbua atakuja na kukurekebishia bure pasipo malizo yeyote!
Fundi Makini ni mwepesi kuja pale unapomuhitaji,tofauti na akina Fundi Kalipua ambao huwa ni ngumu sana kurudi ambapo ameshafanya kazi chafu!
Unatumia King'amuzi gani!!??
Kutana na Fundi wako hapo chini:-
Msaada zaidi wasiliana nasi:- Call 0784378129
Whatsapp / Call 0658046655