Call / WhatsApp +255673378129

May 2, 2023

MAKOSA KATIKA UFUNGWAJI WA DISH


Wingi wa makampuni ya visimbuzi imekuwa fursa kwa vijana wengi kuwa mafundi, ni jambo zuri ila nawasihi mzingatie kujifunza ili kufanya kazi kwa ustadi..
Haya ni baadhi ya makosa ambayo yanafanywa na mafundi wengi wakati wa kufunga kisimbuzi cha dish..
 

Share:

Jan 23, 2023

MAFUNDI WA DSTV TANZANIA

 Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukufungia ama kufanya repair dish yako na ukafurahia huduma!

Mafundi wa kufunga visimbuzi vya DStv kwa Tanzania nzima:-

  • Umenunua mpya unahitaji kufungiwa
  • Umehama jengo unataka kufungiwa
  • Inasumbua unataka kufanyiwa repair 
  • Unataka kufungiwa kwenye Office katika mfumo wa office
  • Unataka kufungiwa kwenye Sports bar kwenye mfumo wa HD
  • Unataka kufungiwa kwenye Hotel, Lodge n.k kwenye mfumo ambao kila room atajibadilishia channels mwenyewe akiwa room.
  • Unataka kufungiwa kwenye Apartment ambapo kila mpangaji atakuwa anaingia na kisimbuzi chake tu

 Tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 10, tunakusikiliza kisha tunakuhudumia kutokana na mfuko wako kwa kuzingatia ubora!

Tanzania nzima tunafika kutegemea na kazi utakayotupatia!

Piga +255784378129 WhatsApp +255658046655


Tanesco HQ - Ubungo D'salaam.


Opp. Ocean road hospital - D'salaam


Opp. Ocean road hospital  - D'salaam 




Dar city view hotel - D'salaam 





Tanesco HQ - D'salaam 


Lodge - Dodoma


Settings zikiendelea kwenye Hotel ili kufanya rooms zote ziweze kuwa na channels zilizo clear!


Settings kwenye Apartment ( hapa tunasambaza Cable kwenye jengo lenye point ( tvs ) zaidi ya 100


Tunahakiki baada ya kufunga dish n kuweka signal!


Control room ambayo ni ya kawaida tuu lakini nzuri na safi!


Tunafanya kwenye ubora zaidi!


Satellite dish aina ya C band nazo tunafunga!



Settings zikiendelea kukamilisha control room


Signal imeshafika, kinachofata hapa ni kufunga tv tu!




Share:

Jan 1, 2023

MAFUNDI WA AZAM TV TANZANIA

  Kumekuwa na wingi wa mafundi wa kufunga madishi, ni vizuri kutokana na fursa iliyopo, wingi wa visimbuzi na watumiaji pia! Tatizo ni kupata mafundi wazuri, mafundi ambao wataweza kukufungia ama kufanya repair dish yako na ukafurahia huduma!

Mafundi wa kufunga visimbuzi vya DStv kwa Tanzania nzima:-

  • Umenunua mpya unahitaji kufungiwa
  • Umehama jengo unataka kufungiwa
  • Inasumbua unataka kufanyiwa repair 
  • Unataka kufungiwa kwenye Office katika mfumo wa office
  • Unataka kufungiwa kwenye Sports bar kwenye mfumo wa HD
  • Unataka kufungiwa kwenye Hotel, Lodge n.k kwenye mfumo ambao kila room atajibadilishia channels mwenyewe akiwa room.
  • Unataka kufungiwa kwenye Apartment ambapo kila mpangaji atakuwa anaingia na kisimbuzi chake tu

 Tuna uzoefu wa zaidi ya miaka 10, tunakusikiliza kisha tunakuhudumia kutokana na mfuko wako kwa kuzingatia ubora!

Tanzania nzima tunafika kutegemea na kazi utakayotupatia!

Piga +255784378129 WhatsApp +255658046655

Tukifunga huwa tunafunga hivi!

Somewhere in Msasani - D'salaam 

Somewhere in Msasani - D'salaam

Tanesco HQ - D'salaam

Salaam Hotel - D'salaam

Channels searching ( Transit Motel ) - D'salaam 

Channels searching ( Lodge ) - Dodoma 

Cable installations ( Dar city view ) - D'salaam 

Control room ( King D hotel ) - D'salaam 

Dish installation 

RG 11 Coaxial cable 

Control room

Instagram @mustaphamadish 


Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita