Call / WhatsApp +255673378129

Oct 9, 2010

DSTV EXTRA VIEW

Ni huduma ambayo haina muda mrefu sana ambayo naweza nikasema ni mpya toka DSTV inakuwezesha kuona channel 2 tofauti kwa wakati mmoja kwa kutumia decoder mbili ila a/c moja kinachozidi ni $10 tu ya malipo ya mwezi,pia unatumia dish moja ila LNB inakuwa ya njia 2 maana kila decoder inakuwa na signal yake.Hii kama utatumia decoder zote za single view lakini pia Extra view inapatikana kwenye HD pia ila decoder ya pili lazima iwe single view na ukitumia HD,LNB yake inakuwa zaidi ya njia 4.
Hii ni HD decoder na single view decoder kwa pamoja unapata Extra view service
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita