
Hivi ndivyo masaa yanavyokatika tukiwa tunawajibika kama ilivyoada ili
mkono uende kinywani!
Kutoka Kinyelezi ilipokuwa Dish ya DSTV na kutakiwa ihamishiwe Kariakoo
ili maisha yaendelee kama kawa watu wakila burudani zao wakiwa na tv
tuu!!
Hapa tayari kwa...