Call / WhatsApp +255755949413

May 31, 2014

DSTV - KINONDONI MANYANYA

Offer inaendelea  kufanya vema ukizingatia kombe la dunia ndo habari ya mjini kwa sasa! Wadau wanataka brazil kuihamishia majumbani mwamo na hii ndo sababu ya kutufanya tuipeleke DSTV kinondoni manyanya! Mustapha MaDish nikagonga sign yangu na kisha nikachapa mwendo! PIGA...
Share:

May 28, 2014

PSPF - INSTALLATION YA DSTV

Mjengoni.  Mlango mkuu wa kuingilia Kuna mdau aliwahi kuniambia ndio jengo refu kupita yote dar es salaam, linaitwa Golden Jubilee Tower lipo maeneo ya posta! Binafsi ambacho naweza kusema ni refu kweli maana ukikaa juu ni balaa!! Hapa ndipo zilipo office...
Share:

May 1, 2014

TUNAWATAKIA MEI MOSI NJEMA

Baadhi ya team kazi tayari kwa kukuhudumia Lengo ni kukupa kilicho bora kwa wakati na kwa mifano iliyo hai!Je umependa huduma zetu muda huu wa sikukuu kama signal haiko poa ni rahishi sana,unachopaswa kufanya ni kuchukua simu yako na kupiga no.+255789476655 utaeleza shida...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413