Call / WhatsApp +255755949413

Aug 31, 2014

LINAPOKUJA SWALA LA MVUA!

Pichani ni dish ya Azam tv huku mvua ikiwa inachapa vilivyo... maana yake ni kwamba ndani hapo picha imepotea... Kinachotokea kwa Azam tv hata DSTV kinatokea.. Linapokuja swala la mvua Dish ndogo huwa zinaelemewa... Hivyo kinachotakiwa ni uvumilivu wa muda mchache na...
Share:

ZUKU SMART PLUS PACKAGE | TSH 13,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha zuku Smart Plus:- Kuna jumla ya channel 40 tv Channel 18 radio Channel zilizopo punde ntawajuza....!!  Msaada zaidi +2557894766...
Share:

Aug 1, 2014

BEI MPYA YA AZAM TV

Kutokana na sababu za kiuendeshaji imelazimika yatokee mabadiliko katika kuuza king'amuzi cha Azam tv. Bei mpya ya Azam tv toka leo Tarehe 1/08/2014 ni Tsh 165000/= Inajumuisha vifaa na Ufundi. Malipo ya mwezi ni ile ile Tsh 12500/= Ukilipa Tsh 177500/= unapata kufungiwa...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

4645292

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413