Call / WhatsApp +255755949413

Nov 26, 2014

MIEZI MITATU BURE | TOKA KWANGU | KUJA KWAKO

Cha kwanza unachojiuliza ni miezi mitatu ya bure toka kwangu kuja kwako ni ya nini!?.... Nagawa ving'amuzi....? Nawalipia Malipo ya mwezi.......?? Nafunga ving'amuzi bure.......?? Jibu lake ni rahisi sana....!! 1.Chukua simu yako bofya no.+255789476655 2.Chagua...
Share:

Nov 23, 2014

OFFER YA STARTIMES TSH 59000/=

Tarehe 24/11/2014 rasmi offer inaanza kwa wateja wote wapya! Hii inakuwa inajumuisha na malipo ya mwezi mmoja! Swai ambalo ungetamani kuniuliza ni je Startimes hiyo ni ya Dish ama Antenna! Jibu ni kwamba hii ni offer kwa Startimes ya Antenna! Wakati ni wako kuchangamkia...
Share:

Nov 19, 2014

OFFER YA DSTV EXPLORA

Hii maana yake Multichoice Tanzania ( DStv ) imekusudia kila mtu apate kilicho bora kwa bei nafuu na kwa wakati ! Kwa sasa ili umiliki Decoder ya Explora sio lazima mfuko wako uwe umetuuuna la! Kwa Tsh 281,000 tu unapata Decoder yako ya Explora! Unazijua sifa za Explora...
Share:

Nov 14, 2014

AZAM TV | UBUNGO FLAT

Hapa bada niwe tu mkweli,awali nilikuja kufunga Continental ya Dish ila mteja wangu huyu alinunua mwenyewe Decoder ambapo dish alikuwa nayo nilichofanya ni kufanya yangu ili Channel za Continental ziweze kumwagika bila chenga! Yap nikafanya ya kufanya zikajaa ambapo idadi...
Share:

UNAIJUA CABLE TV !?

Maswali yamekuwa meengi mkitaka kujua cable tv inafanyaje kazi na huku wengine mkitaka kujua namna ya kuanzisha cable tv zenu huku mkitoa ushuhuda jinsi zilivyo na wapenzi hasa mikoani kwakuwa ni rahisi sana tofauti na huduma nyengine za ving'amuzi...!! Je kweli ni rahisi!? Je...
Share:

Nov 12, 2014

OFFER YA DSTV BADO INAENDELEA | TSH 99,000/=

 Setting zikiendelea.. Hapa ni mbezi,unaingilia maramba mawili ila huko mbele nimesahau panaitwa Mbezi gani,kwakuwa kile cha umuhimu kutakiwa kufanya nimefanya kwa usahihi kabisa hivyo tukishare picha sio mbaya! KUUNGANISHWA NA DSTV | MAFUNDI WA DSTV | P...
Share:

Nov 8, 2014

WEWE NI FUNDI MADISH | HII INAKUHUSU SANA

Hapa nazungumzia wale ambao wapo kitambo na ambao wamejiunga hivi karibuni ama hata kama unataka kuingia ukanda huu kwa mikono miwili nakukaribisha na hii post inakuhusu sana zaidi ya yote ukiyachukua yangu na kuyafanyia kazi majibu utanirejeshea! Ufungaji wa Dish ya Azam...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413