
Javio Felix moja kati ya Ile team Mustapha MaDish vile vichwa vichache ninavyoviaminia...
hofu ilinitoka baada ya kumpa safari moja ya kikazi Zanzibar na kurejea akiwa na mrejesho mzuri tu huku akiwa anacheka cheka mpaka jino la mwisho sijui alikaribishwa na urojoo!!
Ingawaje...