Call / WhatsApp +255755949413

Jun 26, 2017

ONDOKANA NA WINGI HUU WA MADISH..!

 Hapa ni kwenye jengo la Dar Free Market.  Hizi ni baadhi tu ya dishi zilizopo hapa,kutokana na taaluma tuliyonayo haikupaswa kufungwa dishi zote hizi...! Awali ilikuwa Antenna zile za kawaida zilikuwa zinaonekana kama uchafu pindi zikaapo nyingi jengo moja,pia...
Share:

Jun 25, 2017

OFFER YA DSTV MSIMU WA SABASABA

PATA OFA YA SABA SABA NA DStv ! Msimu wa maonyesho ya Biashara ya SabaSaba umewadia rasmi ambapo DStv wanapatikana pale kwenye viwanja vya SABA SABA wakiwa na OFA za kipekee kwenye Msimu huu. Ni Ofa Kabambe, Ofa ya Kujiunga na DStv kwenye Banda lao la SABASABA ni •...
Share:

Jun 24, 2017

OFFER YA STARTIMES MSIMU WA SABA SABA

Wapo ambao walikuwa wanautamani msimu huu wa maonyesho ya saba saba ufike ili waweze kununua mahitaji yao kwa punguzo la bei! Sasa StarTime Tanzania wanakuletea OFFER hii hapa Katika msimu huu wa Sabasaba pata punguzo la bei la kufa mtu toka StarTimes  (8% discount)...
Share:

Jun 23, 2017

OFFER YA AZAM TV MSIMU WA SABA SABA

SABA SABA OFA!!!!! Kwa sasa tunachoangalia ni maonyesho ya saba saba.. kila mtu anataka kujua ni nini kimepunguzwa ili aweze kununua.. King'amuzi cha Azam tv kimekuletea Offer hii hapa! Nunua kinga'muzi kwa shilingi 140,000 nasi tunakuzawadia kifurushi kikubwa cha 28,000...
Share:

Jun 22, 2017

TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NDUGU ZETU !!

Waislamu tupo ukingoni katika kukamilisha moja ya nguzo muhimu katika dini yetu kama ambavyo tumeongozwa kutekeleza.. Leo ni chungu cha 28,bado siku moja ama mbili ili tumalize mfungo na tuingie kwenye Sikukuu ya Idd... Nichukue nafasi hii kuwatakia kila la heri katika...
Share:

Jun 21, 2017

NINI KIBORESHWE KWENYE KING'AMUZI UNACHOTUMIA?

Hii ni fulsa pekee kwa watumiaji wa Ving'amuzi Tanzania lengo likiwa ni moja tu wote kuwafanya muweze kuhufurahia ulimwengu wa Digital tv! SWALI: Ni nini kinachokuudhi kuhusu king'amuzi unachotumia? Ili yaweze kufanyika maboresho na uweze kufurahia matangazo kama ambavyo...
Share:

Jun 7, 2017

MKOA ULIOPO TUPO NA WEWE!

Siku zote tunasisitiza huduma bora bila kubagua uwezo wa wadau wetu ama sehemu uliyokuwepo ingawaje lawama zilikuwa nyingi kwa kuwapa ugumu wadau wetu ambao mlikuwa mnatuhitaji mliopo nje ya Dar es salaam Kwa sasa ni rahisi sana kupata huduma zetu ukiwa mkoa wowote Tanzania...
Share:

Jun 4, 2017

CHANGAMKIA NAFASI ZA KAZI MKOANI KWAKO

MADISH TECHNOLOGY INAHITAJI VIJANA ( sales ) WACHAPA KAZI WAPATAO 16 KWA MIKOA IFATAYO:- Arusha Dar es salaam Dodoma  Mbeya Morogoro Mwanza Tanga Zanzibar Wenye sifa zifatazo:- Uwe mtanzania Uwe na umri 23 - 30 Uweze kuandika na kuongea vizuri kiswahili na English...
Share:

HIDEN CAMERA

Hapa tunazungumzia ule mfumo wa CCTV CAMERAS ni katika kuhakikisha ulinzi wa mali yako ama eneo unalomiliki lipo salama kama si chini ya uangalizi wako muda wote,pasi kudanganywa wala kupitwa! HIDEN CAMERA ni camera ambayo mara nyingi inakuwa ni ndogo na hata ukaaji wake...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413