Kutana na kampuni ya Mustapha Madish Installers wataalamu wa kuuza na kufunga mifumo yote ya ulinzi, mifumo ya tv, umeme wa majumbani na mambo mengine ya IT. Tunapatikana Morogoro mjini, tupigie au whatsapp: +255777139413, Email: mustaphamadish@gmail.com
Tumebobea kufanyakazi kwenye: Hotel/Apartment, Viwandani na maofisini.
Uzoefu wetu ni zaidi ya miaka 10.
Karibu kufanyakazi na sisi, tunakusikiliza, tunakushauri kisha tunakupigia kazi yenye ubora wa hali ya juu, kuanzia vifaa mpaka ufindi!
Karibu!
0 Unasemaje..??:
Post a Comment