
Habari mdau wa Digital tv kiujumla!
Najua
alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine
siwasaidii kwa wakati naomba tusameheane kwa kuwa majukumu nayo yamekuwa
meengi na sio muda wote napitia hii blog, hivyo naomba niwape njia
nyepesi ambayo nitakuwa...