Nov 17, 2010
Some where in Mwananyamala....!!
Nyumbani kwa mbunge wa bunge la A.Mashariki....!!
Ni maeneo ya Chanika wanaita kwa Masantula,hapa bana ndo maeneo aishiyo mh.Didas Masabuli mbunge wa bunge la A.Mashariki,hata mwezi bado toka niende kurekebisha FTA ilikuwa inasumbua na hii ni toka nifunge karibu mwaka mmoja uliopita....!!!
Ilikuwa hivi......:-
Hapa ni katika setting za kuweka c band LNB ya Local na Asia channels,zote zikiwa ni za bure.
Hapa tayari kwa kuuangalia signal zimeingia,zikiwa LNB zote mbili kama zinavyoonekana hapo.
Ilikuwa hivi......:-
Hapa ni katika setting za kuweka c band LNB ya Local na Asia channels,zote zikiwa ni za bure.
Hapa tayari kwa kuuangalia signal zimeingia,zikiwa LNB zote mbili kama zinavyoonekana hapo.
Somewhere in Masaki.....!!!
Some where in Mbagala.........!!!!
Actually kazi yangu imeweza kunitembeza sehemu nyingi sana kiasi kwamba hata se
hemu nyengine sikudhani kama kunawatu wanaishi huko ama ni nchi yetu hii hii Tanzania...!!!!Dah...!! mfano juzi nilikuwa sehemu 1 wanaita Mbagala,ila mbagala hii ipo ndani ndani sana,unaingilia zakiem kwenda kushoto.
Macho yangu yamethibitisha kwamba kuna maeneo ukifunga Dish wewe kidume,ndo kama huko Dish za kuhesabu na zote nilizoziona ni FTA ila DSTV ni hii tu niliyeenda kufunga mimi,hii inamaanisha ya kwamba jamaa kajiwekea alama ya kutosha hata kwa anaoishi nao karibu yaani inakuwa "ulizia palipofungwa Dish la DSTV na nyumba yetu inatazamana nayo".
Kazi ilikuwa kama ifuatavyo:-






Nov 12, 2010
OFFER Tsh 90,000/= DSTV INSTALLATIONS................!!
Hii ni ngumu kuamini ila ni kweli Multi choice Tanzania DSTV wametoa offer kwa wale wote watakao kujiunga.
Full installations ni Tsh 90,000/= ( utapata dish,decoder iliyo na LNB,cable mt 20 pamoja na kufungiwa )
Then itakulazimu ulipie air time ili uweze kuona.
Full installations ni Tsh 90,000/= ( utapata dish,decoder iliyo na LNB,cable mt 20 pamoja na kufungiwa )
Then itakulazimu ulipie air time ili uweze kuona.
Nov 2, 2010
OUR SERVICE'S MORE THAN YOUR PAYMENTS....!!
Tunakuhakikishia ubora na ndo maana tunathubutu kusema huduma zetu ni zaidi ya malipo yako....!!
Popote ulipo tunakuja na popote utakapo tunafunga.
Haijarishi wapi ulipo ila ukituhitaji tunakuja na kukufungia ama kukurekebisha,....!!
usiogope kama nyumba yako ni ya udongo tunazo njia za kukufanya nawe ukaenjoy kama upo masaki katika fukwe za bahari...!!
usiogope kama nyumba yako ni ya udongo tunazo njia za kukufanya nawe ukaenjoy kama upo masaki katika fukwe za bahari...!!