Hapa ni Hostel za IPS college,chuo hiki kipo maeneo ya chanika na hapa ni katika hall lao ambapo ndipo wanapofanya maevent yao ila kikubwa ambacho kime7bisha mimi nifike hapa huwa wanaangalia TV kupitia ukumbi huu so wanamiss kitu kinachoitwa mpira ulio live bila chenga...!!




Nilichofanya hapa na kuacha watu wakiangaza macho na kusababisha stori na vicheko toka kwenye TV ni DSTV EXTRA VIEW ambapo wanaweza kuona channel mbili kwa wakati mmoja kwa kutumia a/c moja.
Nimetumia Dish moja ila lnb ni twine ila Decoder ni mbili kama kawaida,ila napo pa kufunga ilikuwa tatizo maana miti ilikuwa mingi sana mwisho wa yote nikafanikiwa kudrill ukutani kwa kuizidisha stend kama inavyoonekana hapo juu....!!