Call / WhatsApp +255755949413

Nov 23, 2010

GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL...!!

Ilikuwa ijumaa tulivu sana na kwa siku hii nilianzia hapa Giraffe hotel katika sehemu iitwayo jety 1, hapa nili install DSTV na mambo kuwa mazuri..!! Kwa wale wasiopajua hapa ni Dar maeneo ya mbezi beach Africana katika hotel iitwayo giraffe kuna ukumbi ambao upo baharini...
Share:

IN KIBAMBA.......!!!

Hapa bana ni hostel kama ulikuwa hujui ila inaonekana ni za mtu binafsi kaamua kujenga na kuwapangisha wanafunzi,hizi hostel hazipo mbali sana na chuo ambacho huyu jamaa anasoma,aliona itakuwa vizuri zaidi akiwa anacheck na DSTV kipindi anachokuwa anabukua:-...
Share:

Nov 21, 2010

C Band Single Solution Cable!!

 Hii ni kwa wale wanaokaa sehemu zenye shida kupatikana Signal,kama mabondeni,karibu na minara ama wamezungukwa na mitambo mitambo!! C band hii hutumika kwenye Dish ya C band tu ijapokuwa kuna KU ambazo zinahimili interference pia kama ilivyo hii isipokuwa mara nyingi...
Share:

Nov 18, 2010

IPS hostel chanika.....!!

Hapa ni Hostel za IPS college,chuo hiki kipo maeneo ya chanika na hapa ni katika hall lao ambapo ndipo wanapofanya maevent yao ila kikubwa ambacho kime7bisha mimi nifike hapa huwa wanaangalia TV kupitia ukumbi huu so wanamiss kitu kinachoitwa mpira ulio live bila chenga...!! Nilichofanya...
Share:

Nov 17, 2010

Mwananyamala tena.......!!

Mahitaji ilikuwa zinatakiwa channel za bure ambazo ni nzuri,Dish nilizikuta ila ambacho mimi nilisaidia ni LNB tu.Nikasababisha watu waangalie channel za Local,Asia pamoja na zile za MBC.Ilikuwa hivi:-Satellite Dish Antenna zilikuwa mbili KU na Cbandnam nikatumia ufundi wangu...
Share:

Some where in Mwananyamala....!!

Huyu jamaa nilimfungia kitaambo maeneo ya sinza pale,ila leo akataka kuhama hivyo nami nikamuhamisha na DSTV yake kama uonavyo,hii ni maeneo ya Mwananyamala A ndipo alipohamia sasa na mambo yalikuwa as usually:-   Picha hizi zote ni baada ya kumaliza kuinstall...
Share:

Nyumbani kwa mbunge wa bunge la A.Mashariki....!!

 Ni maeneo ya Chanika wanaita kwa Masantula,hapa bana ndo maeneo aishiyo mh.Didas Masabuli mbunge wa bunge la A.Mashariki,hata mwezi bado toka niende kurekebisha FTA ilikuwa inasumbua na hii ni toka nifunge karibu mwaka mmoja uliopita....!!!  Ilikuwa hivi......:- Hapa...
Share:

Somewhere in Masaki.....!!!

Tupo kwenye mbio za OFFER ya DSTV hivyo tunayasababisha haya daily leo nipo maeneo ya Masaki kwa wakishua,huku nimesababisha DSTV na channel za GOSPEL ambazo ni za bure...!! Hapa nishauza na tayari kwa kuchapa mwendo....!!  ...
Share:

Some where in Mbagala.........!!!!

Actually kazi yangu imeweza kunitembeza sehemu nyingi sana kiasi kwamba hata sehemu nyengine sikudhani kama kunawatu wanaishi huko ama ni nchi yetu hii hii Tanzania...!!!!Dah...!! mfano juzi nilikuwa sehemu 1 wanaita Mbagala,ila mbagala hii ipo ndani ndani sana,unaingilia...
Share:

Nov 12, 2010

OFFER Tsh 90,000/= DSTV INSTALLATIONS................!!

Hii ni ngumu kuamini ila ni kweli Multi choice Tanzania DSTV wametoa offer kwa wale wote watakao kujiunga. Full installations ni Tsh 90,000/= ( utapata dish,decoder iliyo na LNB,cable mt 20 pamoja na kufungiwa ) Then itakulazimu ulipie air time ili uweze kuo...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413