
Hii ni Channel inapatikana kwenye C BAND ila sijaifanyia utafiti kama kwenye KU BAND kama inapatikana pia,ni ya dini ya wakristo na kwasasa kuna mambo yanaendelea kule Vatican city kuapishwa nadhani kwa viongozi wao...!!Jana nilikuwa Bagamoyo pale maeneo ya Zinga kwenye kituo...