
Kila kukicha yanazaliwa mapya nami naumiza kichwa kwenda sawa katika ukanda wangu huu....!!Mfano leo Tanzania yetu imekuwa na mfumuko wa ving'amuzi na kufanya pia ufungaji wa madish kupunua ila mwisho wa siku bado dish linskuwa dish na king'amuzi kinabaki kuwa king'amuzi....!!Ambacho...