Call / WhatsApp +255755949413

May 6, 2011

NIPO KWENYE RESEACH ZAIDI....!!!

  Kila kukicha yanazaliwa mapya nami naumiza kichwa kwenda sawa katika ukanda wangu huu....!!Mfano leo Tanzania yetu imekuwa na mfumuko wa ving'amuzi na kufanya pia ufungaji wa madish kupunua ila mwisho wa siku bado dish linskuwa dish na king'amuzi kinabaki kuwa king'amuzi....!!Ambacho...
Share:

May 5, 2011

EWTN yanayoendelea Vatican city...!!

Hii ni Channel inapatikana kwenye C BAND ila sijaifanyia utafiti kama kwenye KU BAND kama inapatikana pia,ni ya dini ya wakristo na kwasasa kuna mambo yanaendelea kule Vatican city kuapishwa nadhani kwa viongozi wao...!!Jana nilikuwa Bagamoyo pale maeneo ya Zinga kwenye kituo...
Share:

May 3, 2011

HOTEL INSTALLATIONS INAKUWA ILIVYOKUWA...!!

  Hii inaitwa Multiswitch na mara nyingi hutumika mahotelini ama kwenye Apartment au hata kwenye nyumba binafsi,ila kazi yake ni kugawa Receiver zaidi ya moja kama uonavyo hapo,hizo cable zote zimeingia kwenye receiver.......
Share:

Hapa hakuna kinachoonekana kamwe....!!

Satellite Dish ya aina yeyote ukiiona imezibwa hivi jua ya kuwa hakuna kinachoonekana kwenye TV,kwa sababu tunaposet huwa tunalenga kwenye Satellite husika hivyo lazima kuwe na mawasiliano baina ya Dish na Satellite kwa mtindo wa kulenga,hivyo ikizibwa maana yake ni kukata mawasiliano...
Share:

May 1, 2011

KOTA ZA BANDARI ILIKUWA BWAAA...!!

  Ufundi banaa huzidiana yaani kama ubabe...!!Mbabe wako ndo mnyonge wangu n hilo halina ubishi na ndivyo ilivyotokea hapa..!!Jamaa alipewa issue ya kuhamisha Dish toka maeneo ya K'koo na kuhamishia Kulasini katika kota za Bandari,Dish ilikuwa ni ya c band zile kuuubwa...
Share:

HOUSE'S TOO CHEAP FOR SALE AT MBEZI LUIS..!!

NYUMBA INAUZWA MBEZI LUIS KWA FUNGO MIL.45   Muonekano kwa nje.    Kwa uwani ndani ya uzio.                                               ...
Share:

Nawatakia sikukuu njema wajenga nchi wenzangu !

Leo ni tarehere 1 mwezi wa 5,kila tarehe hii imekuwa tunasherehekea sikukuu ya wafanyakazi,lengo na madhumuni ni kuthamini uwepo wa wafanyakazi na kukutana pamoja kuonyesha na kuzunguza ambayo yanaweza yakatupa changamoto wafanyakazi wa kila idara,huu ni mtazamo wangu kwa upeo wangu mdogo nilionao juu ya siku hii ya leo,pengine wewe unajua zaidi ya...
Share:

Apr 9, 2011

CARs FOR SALE....!!!

 Starlet Mil.4,500,000  Noah Mil.13,500,000  Vitz Mil.6,500,000  Spacio Mil.8,600,000 GX110 Mil.13,500,000 For more informations call us +255659937711,mustaphamadish@gmailcom. Pia tuna gari aina mbali mbali....
Share:

Mar 15, 2011

DISH INAPOTUMIKA NA WAJENZI....!!

Hilo hapo chini ni Dish Antenna aina ya c band,unaweza ukasema pengine anashughulika ili watu waone picha but c kama udhaniavyo...!!  Mimi niliishia hapa ila kilichoendelea nadhani hata wewe mwenyewe unapata picha...!!...
Share:

Feb 3, 2011

AJALI WAJAMENI...!!

 Kilichotokea hapa hakuna anayejua,hii nimeipata katika pita pita zangu mtandaoni lakini dah..!!hapa inavyoonyesha jamaa hakuweza hata kutumia kama paa matokeo yake alienda kupima kule kwenye vyuma chakavu..!!&nb...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413