Matakwa ya mteja ndo wajibu wangu kila siku maana nipo kwa ajili ya kukufanya wewe upate furaha kwa unachokihitaji!!
Alinipigia simu na shida yake ilikuwa kupata CNN na BBC free kama inawezekana maana yeye hataki mambo ya kulipia lipia!Nikamwambia inawezekana tena zaidi ya hizo anazozitaka yeye!Nikatumia Dish ft 6 na LNB KU pale muda c muda channels...
Jun 29, 2013
TRANSIT MOTEL TENA!

TRANSIT MOTEL AIRPORT
Nilianzia pale uwanja wa ndege na kisha nikaenda fanya ya kupendeza palee njiapanda ya sitakishari!
Kazi
niifanyayo ndo inapelekea mwengine akosolewe maana huwa lazima mteja
awe nae kama fundi penye tatizo namsomesha mpaka anaelewa n...
Jun 28, 2013
ARABSAT IMENIPELEKA MWANDEGE!

HAPA NATAFUTA WAARABU
Sikuwahi kufika wala kutarajia kufika kabla ila kwasababu wewe ndo wa kufanya niende popote hivyo sina pingamizi na najivunia kazi yangu maana faida ya pili kuijua Tanzania kwa vitendo!
Kwa wenyeji wanasema Mwandege ni nje kidogo mwa mkoa wa...
Jan 6, 2013
CHANNEL ZA DIGITEK

Hii ni orodha ya baadhi ya channel zilizopo kwenye king'amuzi cha Digitek, ambacho hakina malipo ya mwezi unafurahia tu hizi channels:-
Always Connected
Kwa Maelezo zaidi
PIGA +255789476655...
Jan 2, 2013
DSTV TANZANIA
Kujua bei ya sasa Bofya hapa
SO MUCH MORE..!
Kwa sasa kuna Offer ambapo kwa Tsh 149,000/= Full Installations
Unapata Dish ndogo,lnb,Decoder,Cable mt20 na Kufungiwa!
Baada ya hapo unachagua Package uipendayo kati ya zifuatazo:-
DStv Access Tsh 16,500 - $10
DStv Family Tsh 33,000 - $20
DStv Compact Tsh 53,000 - $32
DStv Compact Plus Tsh...
Dec 5, 2012
FLAT SCREEN INAZIDI FANYA VIZURI!

NISHAFANYA YANGU
Kiukweli ntaona ajabu sana kama unataka kununua TV na ukaenda kununua zile analogue badala ya flat screen kitu cha bapa!
Naanza kuzisahau TV za chogo maana kile niendapo nakutana na flat,jambo zuri na kupendeza maana hata ufungaji wake tv inakuwa...
Oct 10, 2012
MAWASILIANO
East Africa,Tanzania.
Dar es salaam.
Magomeni.
Office: +255789476655
Cell: +255659161111/714973797
Email:mustaphamadish@gmail.com
Instagram
Facebook
Twitte...
Sep 26, 2012
DSTV IMENIFANYA NIIJUE IKWIRIRI!!

DSTV bado inafanya vizuri na ukizingatia haina mipaka ndani ya Tanzania
na ndo sababu ya kukufanya popote ulipo unaweza kufunga na ukaona kila
ambacho unapaswa kuona kutokana na Package uliyoilipia!!
Kwa mantiki hiyo ikafanya watu watoke sehemu moja inaitwa IKWIRIRI na kutaka...
Sep 19, 2012
Sep 1, 2012
UZURI WA FLAT SCREEN KWA UKUTA!!

Kwanza inapendeza asikwambie mtu,ipo salama pia na haichukui nafasi kubwa,zaidi ya yote unakuwa wa kisasa zaidi na ambaye unakwenda na wakati,kama bado upo nyuma huyu ameshakuacha!!
Si kama nauza TV flat laa ila ambacho nafanya ni kufunga tu kama hivi,hii ni office ila nilianzia...