
Kama kawa kama dawa ndo ambacho naweza kusema kwa wakati huu!
Hapa ni maeneo ya Urafiki njia panda pale ya kwenda mabibo!
Hapa Local ilikuwa inasumbua na DSTV pia,hivyo kilichotakiwa nikifanye ndo nikafanya na kuwaacha wenyeji wakicheka cheka tu!
Nikachukua vyangu...