Call / WhatsApp +255755949413

Jul 21, 2013

OFFER YA DSTV KWA 149,000/=

Ni kawaida kila ikikaribia msimu wa kandanda ama kukiwa na sikukuu DSTV hutoa OFFER kwa wateja wake ambao wanahitaji kujiunga na huduma zao!! Now ndo muda umewadia kwa wale wote ambao wanataka kujiunga na DSTV na walikuwa wanangoja time hii ya offer imewadia wale mabingwa wa maswali jibu ndo hili kuhusu urahisi wa kujiunga na DSTV! Wala usipate...
Share:

Jul 20, 2013

EMANUEL TV IMENIPELEKA KUNDUCHI 170

Jumapili tulivu hali ya hewa ikiwa haieleweki mara jua mara kiwingu na manyunyu yakichukua nafasi! Panaitwa Kunduchi ila wenyeji wanapaita Kunduchi 170,hapa ilikuwa wanaona DSTV awali ila kutokana na maamuzi yao wakataka DSTV igeuke na kuwa Emanuel tv nami nikaona hakuna...
Share:

Jul 18, 2013

KAZI YANGU KUKUFURAHISHA WEWE!

 Kama kawa kama dawa ndo ambacho naweza kusema kwa wakati huu! Hapa ni maeneo ya Urafiki njia panda pale ya kwenda mabibo! Hapa Local ilikuwa inasumbua na DSTV pia,hivyo kilichotakiwa nikifanye ndo nikafanya na kuwaacha wenyeji  wakicheka cheka tu! Nikachukua vyangu...
Share:

Jul 15, 2013

JUMLA YA CHANNEL 6 TU ZA TANZANIA KWA TV ZAIDI YA 50!

 Je wajua unaweza kufunga idadi ya channel utakazo kwa idadi ya tv zako na kila tv ikajitegemea kubadili na kuangalia channel uipendayo pasi kuingiliana na tv nyengine!  Hii x nyingi inafanyika maofisini,mahotelini ama kwenye Apartment ila hata popote upendapo unaweza...
Share:

Jul 14, 2013

CHANNEL ZA TANZANIA ZINAKAZIA SWAUMU!

 Hapa nawatafuta Watanzania Yap ni siku nyengine tena tunaamshwa vema na muumba nikiwa na afya njema na nafanya yangu kama kawa! Nimeamkia sehemu moja wanapaita sinza,hapa nilitakiwa kufanya channel za Local zionekane vema na ndo nilichofanya ingawaje kwa channel za...
Share:

Jul 12, 2013

EMANUEL TV channels zaidi ya 50 BURE!!

Inatumia dish ndogo lugha ya kitaalamu inaitwa KU,unapata kuona channel zifuatazo ila nyingi zikiwa za gospel.Vifaa vinavyokamilisha set hii ni:-lnb KU,Receiver,Dish KU,Cable,F connectors. Channel ZN CNTV ACNN My tv promo Celebration TV Bethesda TV CVV Omega ACBN Chosen...
Share:

Jul 5, 2013

BAHARI BEACH LODGE TENA!

Kumbu kumbu yangu ni siku kadhaa nyumba nilifanya ya kupendeza na ndo sababu iliyopelekea nikaitwa tena leo! Kazi ilikuwa si kubwa sana ijapokuwa kwa asiyejua angemaliza hata mwaka na asingeambulia kitu! Hapa DSTV ilikuwa time ya jioni inapoteza signal,ila wakati wa asubuhi...
Share:

Jun 30, 2013

CNN!! ZAIDI YA CHANNEL 50 BURE!!

Matakwa ya mteja ndo wajibu wangu kila siku maana nipo kwa ajili ya kukufanya wewe upate furaha kwa unachokihitaji!! Alinipigia simu na shida yake ilikuwa kupata CNN na BBC free kama inawezekana maana yeye hataki mambo ya kulipia lipia!Nikamwambia inawezekana tena zaidi ya hizo anazozitaka yeye!Nikatumia Dish ft 6 na LNB KU pale muda c muda channels...
Share:

Jun 29, 2013

TRANSIT MOTEL TENA!

TRANSIT MOTEL AIRPORT  Nilianzia pale uwanja wa ndege na kisha nikaenda fanya ya kupendeza palee njiapanda ya sitakishari! Kazi niifanyayo ndo inapelekea mwengine akosolewe maana huwa lazima mteja awe nae kama fundi penye tatizo namsomesha mpaka anaelewa n...
Share:

Jun 28, 2013

ARABSAT IMENIPELEKA MWANDEGE!

 HAPA NATAFUTA WAARABU Sikuwahi kufika wala kutarajia kufika kabla ila kwasababu wewe ndo wa kufanya niende popote hivyo sina pingamizi na najivunia kazi yangu maana faida ya pili kuijua Tanzania kwa vitendo! Kwa wenyeji wanasema Mwandege ni nje kidogo mwa mkoa wa...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

4645502

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413