Call / WhatsApp +255755949413

Apr 22, 2014

TUNACHOJIVUNIA KWENU.......!!

...kutokana naukweli kwamba siwezi kufanya kila kitu mwenyewe lazima kuwe kuna mgawanyiko wa kazi ili mambo yaende kwa wakati na kwa ubora stahiki ndo sababu ya kuwa na team! Team Kazi,Mustapha MaDish Crew unaweza kutuita Rangers tuna kila sababu ya kujivunia kufanya vizuri...
Share:

Apr 19, 2014

MOJA KATI YA SEMINA MAKAO MAKUU AZAM TV

Ni kawaida kila baada ya muda fulani tunakutana makao makuu na kujadili biashara kwa ujumla inaendaje,nini kipya na wateja mnahitaji nini kwa ujumla ili muendelee kufurahia burudani kwa wote! Mustapha MaD...
Share:

Apr 3, 2014

AZAM TV HUDUMA KWA WATEJA/MSAADA KIUFUNDI

Kila alipaye pesa yake ama anayetaka kulipa anategemea kupata huduma bora na kwa wakati hilo tumelijua vyema na ndo maana tupo hapa kukuhudumia! Mteja kwetu ni mtu muhimu sana hivyo macho yetu mawili ni kwako unayetaka kuhudumiwa nasi! PIGA SIMU NAMBA +255789476655/714973797/659161111...
Share:

Apr 2, 2014

AZAM TV BURUDANI KWA WOTE LIVE!!

Leo usiku saa tatu na dakika arobaini na tano 3:45 kupitia chanel ya NBS utaweza kuangalia mechi ya  Real Madrid Vs Dotmund. Azam TV Burudani Kwa Wo...
Share:

Mar 30, 2014

DSTV COMPACT PACKAGE | CHANNELS 85+ | TSH 69,000

Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Compact FTA KBC CITIZEN TBC STAR TV CHANNEL 10 ITV Clouds Tv KTN News K24 Bukedde Tv WBS NBS Tv e Tv Africa Dish MICHEZO SuperSport Blitz SuperSport Select1 SuperSport 2Select SuperSport 9 SuperSport 9 East SuperSport...
Share:

DSTV WAKONGWE WA DIGITAL....!!

Mazuri yanayoendelea mwezi huu wa nne! Ikumbukwe kwamba kandanda ndio nyumbani na kwa uchache ratiba ni kama ifuatavyo! KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NAMBA +255789476655/714973797/659161...
Share:

Mar 15, 2014

ZILIANZA CHANNELS 52...

Naizungumzia Azam tv "Burudani kwa wote" Awali zilianza channels 52 huku ahadi ikiwa zitakuwa zinaongezeka kila baada ya muda,wapo ambao waliamini na wapo waliodhani ni katika kutaka kuuza tu! Kuanzia tarehe 28 mwezi wa pili utekelezaji ulianza kwa zile channels ambazo...
Share:

Mar 13, 2014

RECEIVER KWA TSH 60,000/=

 Gulf Star GS-8100 ...
Share:

Mar 1, 2014

KUTANA NA MAFUNDI WASAFI HUDUMA SAFI

 Mustapha Madish  Mustapha MaDish na Herry Msamila  Ba'Fetty Hii ni kwa nchi yetu tu na baadhi ya nchi za Africa Imezoeleka kuwa yeyote aitwae fundi bila kujali wa nini kinachofuata ni dharau na mtu anakujengea picha lazima utakuwa mchafu! Naongea...
Share:

Feb 28, 2014

HATIMAE ITV NA EATV KWENYE AZAM TV

Leo ilikuwa ahadi kwamba kuna kitu kipya wadau wa azam tv wakae tayari kukipokea na watafurahia na ndicho kilichotokea!! Baada ya ngoja ya muda mrefu yametimia! Mengine yatafuata kama tulivyowaahidi!...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

4640626

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413