Baada ya kukumbuka site nimerejea kama kawa na leo nimeamka na DSTV ikiwa ni OFFER ya Tsh 129000/= Unapata kufungiwa na vifaa vyote isipokuwa inakuwa haina kifurushi cha mwezi!
Moja nilifunga kiwanja cha nyumbani Magomeni ila hii Magomeni Makuti!
Ya pili nilifunga sehemu moja wanapaita Kinondoni Manyanya.