Call / WhatsApp +255755949413

Oct 23, 2013

AZAM TV

Mustapha MaDish  nikiwa Azam tv HQ Niseme tu ukweli katika ujio wa ving'amuzi vyote Tanzania huu ni ujio tofauti sana,kwa maana kabla ya kuanza kuuza wadau wamekuwa na shauku ya kutaka kununua bila kujua nini kilichopo ila tu wanaamini itakuwa king'amuzi bora kuliko...
Share:

Oct 20, 2013

OFFICE INSTALLATIONS

+255789476655/659161111 Hapa ilitakiwa lifungwe Dish moja isipokuwa liende kwenye tv zipatazo nne,na kila mmoja awe anachange channel kupitia Remote yake kwa channel aipendayo bila kumghasi mwengine! Kuna njia mbili: 1.Kuchagua Channel muhimu tu kama tunavyofanya kwenye Hotel. 2.Kufunga...
Share:

Oct 18, 2013

AZSKY

Leo nimeonelea niongelee kwa uchache kuhusu hii Receiver kutokana na ukweli kwamba naulizwa sana kuhusu hii kitu,wengine wanataka kujua ni kifaa gani na kazi yake,wengine wanataka kujua zinapatikana wapi,wengine wanataka kujua uhalali wake na wengine wanataka kujua uhakika wa hizi Receiver na nyengine zinazofanana na hizi!! More info nawaletea so...
Share:

Oct 4, 2013

CHANNEL ZA BURE!!!!!!

Kuna kitu watu wengi wanashindwa kuelewa ni kwanini Aljazeera na Abudhab malipo yao ni rahisi pengine tofauti na Dstv hivi!! Ukweli ni kwamba hawa jamaa wana channel chache sana na ni za sport tu isipokuwa Satellite ambayo wanatumia kuna channel nyingi za bure hivyo humpumbaza...
Share:

Oct 1, 2013

TRENET KWENYE DISH NAYO!!

Digital ndo habari ya sasa! Sasa ile channel ya dini ya Trenet tv nayo kwenye Dish tena ikiwa bure! Unaipata kutumia Dish ndogo,satellite husika Intelsat 17 nyuzi 66E,kama muelewa wa masuala ya madish tofauti nyuzi mbili na Emanuel tv kwenye dish ya KU!!! Kwa mtazamo wangu wanaweza wakaja kuhama Satellite baadae maana hapa walipokaa wapo wenyewe...
Share:

Sep 29, 2013

HATIMAE CLOUDS TV KWENYE DISH!!

Swali la wengi leo limepata jibu maana walikuwa wanauliza Clouds tv mbona haipo kwenye Dish,ukweli ni kwamba hili lilikuwa ni swala lililo ndani ya uwezo wa Clouds Media Group na sio mimi Mustapha Madish!! wamefanya walichopaswa kufanya,ambapo kwangu imekuwa fulsa ndo hivi...
Share:

Sep 13, 2013

KAZI NZURI KWA MACHO YAONEKANA!

Awali hapa fundi alipita na kutumia uwezo wake kufanya alichofanya na kuondoka,lakini haikupita muda kwa mujibu wa mwenyewe Dish ikazingua na fundi akipigiwa kimyaaaa!! Wapi alipo MustaphaMadish baada ya kunipata solution ikapatikana!! Kwanza labda nitoe angalizo kwa wateja...
Share:

Sep 3, 2013

TOKA AFRICANA KWENDA SALASALA

+255789476655/659161111/714973797 Ukija kwenye swala la kuhama toka nyumba moja mpaka nyengineni ni jambo la kawaida sana kuhama na Dish yako iwe ya DSTV ama ya kawaida yeyote ile unahama nayo na channel zako zile zile ama zinaweza kuzidi kama ulikuwa hujui!!!! Ambacho wengi...
Share:

Sep 1, 2013

CHANNEL ZA TANZANIA KWENYE DISH NDOGO

Awali ilikuwa huwezi kupata Local channel mpaka ufunge dish ya c band yaani dish kubwa,lakini sasa mambo ni tofauti kwani unaweza kupata Local channel kwa kutumia kadish kadogo (KU) na lnb ya ku,isipokuwa Receiver ni lazima utumie ya MPEG4 tofauti na upatikanaji wa kwenye...
Share:

Aug 22, 2013

TOKA KINYELEZI MPAKA K'KOO!!!

 Hivi ndivyo masaa yanavyokatika tukiwa tunawajibika kama ilivyoada ili mkono uende kinywani! Kutoka Kinyelezi ilipokuwa Dish ya DSTV na kutakiwa ihamishiwe Kariakoo ili maisha yaendelee kama kawa watu wakila burudani zao wakiwa na tv tuu!!   Hapa tayari kwa...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413