Wateja wengi wa DStv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi!
Kwanza vijue vifurushi vya Dstv kwa Kubofya Hapa
Ikitokea umelipia kifurushi cha DStv...
Dec 5, 2015
EMANUEL TV | TB JOSHUA

Ni mkristo gani ambaye ni muangaliaji wa tv na haijui Emmanuel tv? ama hamjui TB Joshua?
Pastol wa kanisa la mataifa yote..
Emmanuel tv ni tv ambayo ina wapenzi karibu dunia nzima,ni tv kubwa sana ya dini ambayo makao makuu...
Dec 3, 2015
FUNDI DISH HUJISIKII VIBAYA | KWA UCHAFU HUU!?

Lawama zimekuwa ni nyingi kuhusu Ving'amuzi kusumbua,ambapo Ving'amuzi vinavyolalamikiwa wala havina usumbufu huo,katika kuchunguza nimegundua ya kuwa mafundi husababisha Ving'amuzi vionekane vinasumbua hata kama havina sifa hiyo ijapokuwa kweli kuna Baadhi...
Dec 1, 2015
JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI AZAM TV

Wateja wengi wa Azam tv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi!
Kwanza vijue Vifurushi vya Azam tv kwa kubofya Hapa
Ikitokea umelipia kifurushi...
Nov 26, 2015
RATIBA YA AZAM TV

Ilikupata ratiba ya king'amuzi chako cha Azam tv:-
Chukua remote yako,bonyeza 1- menu..
2- Digital TV
3- Programme Guide
4- Chagua channel unayotaka kupata ratiba yake ya wiki nzima kama inavyoonekana hapo juu!
5- Ikiwa maelezo...
Nov 25, 2015
KUZIMIKA KWA VING'AMUZI BILA TAARIFA KWA WATEJA!

Idadi ya simu ninazopokea kwa takribani wiki tatu mpaka leo hii ni wateja wa baadhi ya ving'amuzi ambavyo vimekata matangazo yao bila taarifa yeyote kwa wateja wao na kitu kibaya zaidi ushirikiano unakuwa sio mzuri kwa mujibu wa wateja wanaonipigia mimi!
Ving'amuzi vilivyokata...
Nov 19, 2015
UNATAKA KUJUA NINI KUHUSU DIGITAL TV ?

Yapo mengi ambayo siwezi kuyamaliza kwa siku moja na pia siwezi kuyamaliza ikiwa sijajua ambacho wewe ungependa kujua kuhusu ulimwengu huu wa Digital tv na hata ukihitaji kujua yale ya Analogue tv nipo tayari kukujuza kwa kina kabisa!
Ni nini ambacho ungependa kukijua...
Nov 16, 2015
DSTV HUDUMA KWA WATEJA NA KUPATA MAFUNDI WA DSTV

Je unatumia DStv? ama unahitaji kujiunga na DSTV?
Karibu kwa kufata utaratibu huu:-
IKIWA UNATUMIA DSTV:
Umelipia na bado hupati channel?
Picha inakatakata ama haionyeshi kabisa
Unataka kuhama toka nyumba moja kwenda nyengine
Unahitaji kuongeza Decoder nyengine...
Nov 1, 2015
VIFURUSHI NA CHANEL ZA STARTIMES

Ni moja kati ya makampuni ambayo yanamiliki ving'amuzi aina mbili tofauti kimasafa,nikiwa na maana ya kuwa kuna aina mbili ya Decoder za startimes:
StarTimes ya Antenna
StarTime ya Dish
Kwa kukurahisishia startimes wakati wanaanza hapa nchini walianza na mfumo wa...
KING'AMUZI GANI BORA TANZANIA!?

Swali ambalo kila kukicha nakutana nalo kutoka kwenu..
Kwa kuanzia nikwambie ving'amuzi vilivyopo Tanzania ili niweze kukwambia kilicho bora..
Azam tv
Continental
Coconut Digital tv
DStv
Digitek
Easy tv
Startimes
Ting
Zuku tv
Kwa kuanzia nikwambie ving'amuzi...