Call / WhatsApp +255673378129

Nov 17, 2010

Somewhere in Masaki.....!!!

Tupo kwenye mbio za OFFER ya DSTV hivyo tunayasababisha haya daily leo nipo maeneo ya Masaki kwa wakishua,huku nimesababisha DSTV na channel za GOSPEL ambazo ni za bure...!!














Hapa nishauza na tayari kwa kuchapa mwendo....!!
 
Share:

Some where in Mbagala.........!!!!

Actually kazi yangu imeweza kunitembeza sehemu nyingi sana kiasi kwamba hata se
hemu nyengine sikudhani kama kunawatu wanaishi huko ama ni nchi yetu hii hii Tanzania...!!!!Dah...!! mfano juzi nilikuwa sehemu 1 wanaita Mbagala,ila mbagala hii ipo ndani ndani sana,unaingilia zakiem kwenda kushoto.
Macho yangu yamethibitisha kwamba kuna maeneo ukifunga Dish wewe kidume,ndo kama huko Dish za kuhesabu na zote nilizoziona ni FTA ila DSTV ni hii tu niliyeenda kufunga mimi,hii inamaanisha ya kwamba jamaa kajiwekea alama ya kutosha hata kwa anaoishi nao karibu yaani inakuwa "ulizia palipofungwa Dish la DSTV na nyumba yetu inatazamana nayo".
Kazi ilikuwa kama ifuatavyo:-












Share:

Nov 12, 2010

OFFER Tsh 90,000/= DSTV INSTALLATIONS................!!

Hii ni ngumu kuamini ila ni kweli Multi choice Tanzania DSTV wametoa offer kwa wale wote watakao kujiunga.
Full installations ni Tsh 90,000/= ( utapata dish,decoder iliyo na LNB,cable mt 20 pamoja na kufungiwa )
Then itakulazimu ulipie air time ili uweze kuona.
Share:

Nov 2, 2010

OUR SERVICE'S MORE THAN YOUR PAYMENTS....!!

Tunakuhakikishia ubora na ndo maana tunathubutu kusema huduma zetu ni zaidi ya malipo yako....!!
Share:

Popote ulipo tunakuja na popote utakapo tunafunga.

Haijarishi wapi ulipo ila ukituhitaji tunakuja na kukufungia ama kukurekebisha,....!!
usiogope kama nyumba yako ni ya udongo tunazo njia za kukufanya nawe ukaenjoy kama upo masaki katika fukwe za bahari...!!
Share:

FLAT SCREEN INSTALLATIONS

Share:

DISEQC SWITCH......!!


Kifaa ambacho kinaunganisha LNB ama Dish zaidi ya moja,kuingiza channel kwenye Receiver moja
Share:

MULTI SWITCH........!!!!

Ni kifaa ambacho kinaunganisha Receiver/Decoder zaidi ya moja kwa kutumia Dish moja.
Multi switch zipo aina mbili ambazo zinatumia umeme na zisizotumia umeme.

Share:

FAKE'S NOT CHEAP....!!

Siku zote napenda kuona naongeza idadi ya wateja,hii inategemea na huduma nitoazo kwa wateja zetu ambao ndo wanakuwa wajumbe wazuri kwa kuwashawishi wengine kuja kwetu.
Kuna wateja ambao ukiwapa bei ya kifaa Original hafikirii x2 hutoa bila wasi wasi wowote kutokana na either mtu aliyemuelekeza ama imani yake kwetu na maelezo aliyoyapata awali.
Wapo ambao unawapa bei ya Original wao wanataka bei ya Fake,kitu ambacho kinatuwia vigumu kufanya biashara.
Share:

Nov 1, 2010

EAST TV TANZANIA

 Easy TV Tanzania ni kampuni ambayo si ngeni sana Tanzania ila kiukweli nimegundua watu wengi hawaifahamu kutokana na ukweli kwamba hawajajitangaza kikamilifu huku wengine wakidhani kama hawako serious na kazi,ila ukweli ni kwamba hawa jamaa wapo serious na wanaendelea kufanya vizuri maana wana miaka kadhaa Tanzania wakiendelea kutoa huduma.
Zaidi kwa mahitaji ya channel za Tanzania ambazo zilizopo kwenye satellite na zile zilizopo kwenye transmeter unazipata,hii inamaana ni zote kama zitakosekana na 2 ama 1,kiasi kwamba mpaka TVZ unaipata na CLOUDS TV.
Ukiachilia hizo pia kuna za mataifa mengine ya Africa,Movie,Michezo,Documetary,Music,News na nyenginezo.








Hii ni moja kati ya Easy TV nilizowahi kuinstall,ni maeneo ya sinza A pale kwa jamaa mmoja wakujiita Kisanga.
Share:

Dish cable

 
Kuna ambacho wengi hawakijui kama si kuchanganya,cable ya antenna ya kawaida na cable ya dish ni sawa kwa macho na kazi ila ni tofauti kwa quality,ambapo cable ya dish ipo high quality kutokana na mzigo unaobeba tofauti na cable ya antenna ambayo ipo low quality kwasababu kinachobeba ni cha kawaida sana.
Cable ya antenna ukiiweka kwenye dish si kwamba haitaonyesha itaonyesha ila itapoteza signal kadhaa njiani na kutokaa muda mrefu zaidi ya yote kuunguza either LNB ama kipokea ( Decoder/Receiver )
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita