Nov 23, 2010
Nov 21, 2010
C Band Single Solution Cable!!
Mustapha MaDish12:59 AMCAPITAL TV, CHANNEL 10, EATV, Hotel Installation, ITV, STARTV, TBC
No comments
Hii ni kwa wale wanaokaa sehemu zenye shida kupatikana Signal,kama mabondeni,karibu na minara ama wamezungukwa na mitambo mitambo!!
C band hii hutumika kwenye Dish ya C band tu ijapokuwa kuna KU ambazo zinahimili interference pia kama ilivyo hii isipokuwa mara nyingi KU hata kwenye interference inakama Signal vizuri!!
Tazama tofauti yake kimuonekano:
Hii ni C Band Single Solution Cable
Hii ni C Band ya kawaida
Pia katika uingizaji wa freeguency kuna tofauti kati ya c band ya kawaida na c band single solution!!
Ambapo kwa single solution unatoa 600 za upande mmoja.
Ambapo kwa single solution unatoa 600 za upande mmoja.
Mf: frequency ya ITV,EATV,CAPITAL-F3642 S8545V (F3042 S8545V),hivyo za V zote unatoa 600 isipokuwa za H hutoi!!!
Nov 18, 2010
IPS hostel chanika.....!!
Hapa ni Hostel za IPS college,chuo hiki kipo maeneo ya chanika na hapa ni katika hall lao ambapo ndipo wanapofanya maevent yao ila kikubwa ambacho kime7bisha mimi nifike hapa huwa wanaangalia TV kupitia ukumbi huu so wanamiss kitu kinachoitwa mpira ulio live bila chenga...!!
Nilichofanya hapa na kuacha watu wakiangaza macho na kusababisha stori na vicheko toka kwenye TV ni DSTV EXTRA VIEW ambapo wanaweza kuona channel mbili kwa wakati mmoja kwa kutumia a/c moja.
Nimetumia Dish moja ila lnb ni twine ila Decoder ni mbili kama kawaida,ila napo pa kufunga ilikuwa tatizo maana miti ilikuwa mingi sana mwisho wa yote nikafanikiwa kudrill ukutani kwa kuizidisha stend kama inavyoonekana hapo juu....!!
Nov 17, 2010
Mwananyamala tena.......!!
Some where in Mwananyamala....!!
Nyumbani kwa mbunge wa bunge la A.Mashariki....!!
Ni maeneo ya Chanika wanaita kwa Masantula,hapa bana ndo maeneo aishiyo mh.Didas Masabuli mbunge wa bunge la A.Mashariki,hata mwezi bado toka niende kurekebisha FTA ilikuwa inasumbua na hii ni toka nifunge karibu mwaka mmoja uliopita....!!!
Ilikuwa hivi......:-
Hapa ni katika setting za kuweka c band LNB ya Local na Asia channels,zote zikiwa ni za bure.
Hapa tayari kwa kuuangalia signal zimeingia,zikiwa LNB zote mbili kama zinavyoonekana hapo.
Ilikuwa hivi......:-
Hapa ni katika setting za kuweka c band LNB ya Local na Asia channels,zote zikiwa ni za bure.
Hapa tayari kwa kuuangalia signal zimeingia,zikiwa LNB zote mbili kama zinavyoonekana hapo.
Somewhere in Masaki.....!!!
Some where in Mbagala.........!!!!
Actually kazi yangu imeweza kunitembeza sehemu nyingi sana kiasi kwamba hata se
hemu nyengine sikudhani kama kunawatu wanaishi huko ama ni nchi yetu hii hii Tanzania...!!!!Dah...!! mfano juzi nilikuwa sehemu 1 wanaita Mbagala,ila mbagala hii ipo ndani ndani sana,unaingilia zakiem kwenda kushoto.
Macho yangu yamethibitisha kwamba kuna maeneo ukifunga Dish wewe kidume,ndo kama huko Dish za kuhesabu na zote nilizoziona ni FTA ila DSTV ni hii tu niliyeenda kufunga mimi,hii inamaanisha ya kwamba jamaa kajiwekea alama ya kutosha hata kwa anaoishi nao karibu yaani inakuwa "ulizia palipofungwa Dish la DSTV na nyumba yetu inatazamana nayo".
Kazi ilikuwa kama ifuatavyo:-
Nov 12, 2010
OFFER Tsh 90,000/= DSTV INSTALLATIONS................!!
Hii ni ngumu kuamini ila ni kweli Multi choice Tanzania DSTV wametoa offer kwa wale wote watakao kujiunga.
Full installations ni Tsh 90,000/= ( utapata dish,decoder iliyo na LNB,cable mt 20 pamoja na kufungiwa )
Then itakulazimu ulipie air time ili uweze kuona.
Full installations ni Tsh 90,000/= ( utapata dish,decoder iliyo na LNB,cable mt 20 pamoja na kufungiwa )
Then itakulazimu ulipie air time ili uweze kuona.
Nov 2, 2010
OUR SERVICE'S MORE THAN YOUR PAYMENTS....!!
Tunakuhakikishia ubora na ndo maana tunathubutu kusema huduma zetu ni zaidi ya malipo yako....!!
Popote ulipo tunakuja na popote utakapo tunafunga.
Haijarishi wapi ulipo ila ukituhitaji tunakuja na kukufungia ama kukurekebisha,....!!
usiogope kama nyumba yako ni ya udongo tunazo njia za kukufanya nawe ukaenjoy kama upo masaki katika fukwe za bahari...!!
usiogope kama nyumba yako ni ya udongo tunazo njia za kukufanya nawe ukaenjoy kama upo masaki katika fukwe za bahari...!!
MULTI SWITCH........!!!!
Ni kifaa ambacho kinaunganisha Receiver/Decoder zaidi ya moja kwa kutumia Dish moja.
Multi switch zipo aina mbili ambazo zinatumia umeme na zisizotumia umeme.
FAKE'S NOT CHEAP....!!
Siku zote napenda kuona naongeza idadi ya wateja,hii inategemea na huduma nitoazo kwa wateja zetu ambao ndo wanakuwa wajumbe wazuri kwa kuwashawishi wengine kuja kwetu.
Kuna wateja ambao ukiwapa bei ya kifaa Original hafikirii x2 hutoa bila wasi wasi wowote kutokana na either mtu aliyemuelekeza ama imani yake kwetu na maelezo aliyoyapata awali.
Wapo ambao unawapa bei ya Original wao wanataka bei ya Fake,kitu ambacho kinatuwia vigumu kufanya biashara.
Kuna wateja ambao ukiwapa bei ya kifaa Original hafikirii x2 hutoa bila wasi wasi wowote kutokana na either mtu aliyemuelekeza ama imani yake kwetu na maelezo aliyoyapata awali.
Wapo ambao unawapa bei ya Original wao wanataka bei ya Fake,kitu ambacho kinatuwia vigumu kufanya biashara.
Nov 1, 2010
EAST TV TANZANIA
Easy TV Tanzania ni kampuni ambayo si ngeni sana Tanzania ila kiukweli nimegundua watu wengi hawaifahamu kutokana na ukweli kwamba hawajajitangaza kikamilifu huku wengine wakidhani kama hawako serious na kazi,ila ukweli ni kwamba hawa jamaa wapo serious na wanaendelea kufanya vizuri maana wana miaka kadhaa Tanzania wakiendelea kutoa huduma.
Zaidi kwa mahitaji ya channel za Tanzania ambazo zilizopo kwenye satellite na zile zilizopo kwenye transmeter unazipata,hii inamaana ni zote kama zitakosekana na 2 ama 1,kiasi kwamba mpaka TVZ unaipata na CLOUDS TV.
Ukiachilia hizo pia kuna za mataifa mengine ya Africa,Movie,Michezo,Documetary,Music,News na nyenginezo.
Hii ni moja kati ya Easy TV nilizowahi kuinstall,ni maeneo ya sinza A pale kwa jamaa mmoja wakujiita Kisanga.
Dish cable
Kuna ambacho wengi hawakijui kama si kuchanganya,cable ya antenna ya kawaida na cable ya dish ni sawa kwa macho na kazi ila ni tofauti kwa quality,ambapo cable ya dish ipo high quality kutokana na mzigo unaobeba tofauti na cable ya antenna ambayo ipo low quality kwasababu kinachobeba ni cha kawaida sana.
Cable ya antenna ukiiweka kwenye dish si kwamba haitaonyesha itaonyesha ila itapoteza signal kadhaa njiani na kutokaa muda mrefu zaidi ya yote kuunguza either LNB ama kipokea ( Decoder/Receiver )
Oct 19, 2010
MAFUNDI DISH AINA ZOTE
UNAHITAJI MAFUNDI WA KUFUNGA DISH KWA CHANNEL ZA BURE AMA KULIPIA!?
Upo mkoa gani,swali la kwanza la mimi kutaka kujua!
Kama upo Dar es salaam utapata fulsa ya kuhudumiwa nami ama moja ya wataalam wangu ila kama upo nje ya Dar es salaam nitakuunganisha na mafundi wenzetu walio katika mikoa hiyo na utapata huduma kanakwamba umehudumiwa na Mustapha MaDish!
Cha kufanya piga namba: +255 714973797
KARIBU!
Oct 10, 2010
Sanaa Mapenzi Yangu!!
Sifanyi sababu fulani anafanya ingelikuwa hivyo kitaambo ningelikuwa miongoni mwao,ila mapenzi yangu toka ku moyo zaidi ya yote Vipaji nilivyojaaliwa nataka kuvitendea haki.
Kimbia ukimbiavyo lakini mi nanyata so kama huna pumzi ntakukuta na kukuacha njiani,ntafika nikikungoja kukukaribisha lakini kamwe huwezi kuiba kipaji cha mtu!!
GERAFFE VIEW HOTEL - DAR
Kwenye ukumbi ambao upo baharini wanapaita JET 1,kilichotakiwa hapa ni kufunga Flat Screen na Dstv,nami bila hiyana kama kawaida ile mikono salama ukafanya yake!
* Geraffe View Hotel (DSTV)
Nafunga Dish sasa!!
Hapa natafuta signal baada ya kufunga Dish.
Ni DSTV kama inavyoonekana katika FLAT SCREEN hii.
+255784378129| Technical Support