Call / WhatsApp +255673378129

May 1, 2011

HOUSE'S TOO CHEAP FOR SALE AT MBEZI LUIS..!!

NYUMBA INAUZWA MBEZI LUIS KWA FUNGO MIL.45
 

Muonekano kwa nje.





   Kwa uwani ndani ya uzio.                                                Kwa nje kupitia getini.   











                   Kwa uwani ndani ya uzio.


 Kwa uwani ndani ya uzio.

Ipo maeneo ya Mbezi luis kwa fungo,unaingia ndani kidogo toka Morogoro rd.Nyumba ni self-3 bed rooms,kitchen,toilet,store,sitting room na ina vyumba vya uwani v3,choo cha nje,pia inauwanja mkubwa wa kujenga nyumba kubwa uliozungushiwa ukuta na parking ya magari ndani ya gate.
Umeme ni LUKU.
Bei ya kuuza ni mil 45.Mazungumzo yapo hapo tutakapokutana na mnunuzi.
 Kwa maelezo zaidi piga simu no.+255659937711/+255763973797 au tuwasiliane  kwa
email: mustaphamadish@gmail.com
                      
                                                                                                                                                     

PLOT FOR SALE AT BAGAMOYO MJINI MIL.3 
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya Bagamoyo maeneo ya nia njema karibu na shule ya msingi nia njema.Ukubwa wa kiwanja ni robo heka.Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa no. +255659937711

                                                                                                                                                      
  
PLOT FOR SALE AT BAGAMOYO MJINI MIL.3
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya Bagamoyo kidongo chekundu.Ukubwa wa kiwanja ni robo heka.Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa no.+255659937711

                                                                                                                                                       

HOUSE FOR SALE AT MAGOMENI MAPIPA MIL.250.
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya Magomeni mapipa mtaa Idrisa ni muundo wa National housing,ina vyumba 6 ndani,vyumba vitatu vya uwani,jiko,choo na store.Kwa maelezo zaidi piga simu no.+255659937711
Share:

Nawatakia sikukuu njema wajenga nchi wenzangu !

Leo ni tarehere 1 mwezi wa 5,kila tarehe hii imekuwa tunasherehekea sikukuu ya wafanyakazi,lengo na madhumuni ni kuthamini uwepo wa wafanyakazi na kukutana pamoja kuonyesha na kuzunguza ambayo yanaweza yakatupa changamoto wafanyakazi wa kila idara,huu ni mtazamo wangu kwa upeo wangu mdogo nilionao juu ya siku hii ya leo,pengine wewe unajua zaidi ya hii...!!
Hivyo popote mlipo nawatakia sikukuu njema watanzania wenzangu na msio watanzania pia maana lengo ni kujenga nchi huku mkono ukienda kinywani na maisha yakiendelea.
Kwa mwaka huu imefanyika kitaifa Morogoro mgeni rasmi akiwa mkuu wa nchi,binafsi napenda kuchukua nafasi hii kuwahusia vijana wenzangu kufanya kazi kwa bidii huku tukikumbuka ya kuwa "CHEZA NA MSHAHARA NA SI KUCHEZA NA KAZI" maisha mazuri hayaji kiurahisi yatupasa kufanyakazi kwa bidii sana na mliopo shule msome kweli maana kadri siku zinavyozidi kwenda maisha yanazidi kuwa magumu.
Ni hayo tu kwa leo wajameni....!!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita