Ufundi banaa huzidiana yaani kama ubabe...!!
Mbabe wako ndo mnyonge wangu n hilo halina ubishi na ndivyo ilivyotokea hapa..!!
Jamaa alipewa issue ya kuhamisha Dish toka maeneo ya K'koo na kuhamishia Kulasini katika kota za Bandari,Dish ilikuwa ni ya c band zile kuuubwa wenyewe walikuwa wanaangalia Local channel...!!
Ilimchukua siku tatu kucheza nayo lakini wapi wazungu walikataa,ikamlazi jamaa kunitafuta baada ya kukubali matokeo ya kuwa usipokubali kushindwa c mshindani,nami tena kama nimezaliwa nayo hayo madude nikafika eneo la tukio nikasababisha watu wachekecheke na TV yao kisha nikachukua kila kilicho changu bila kusahau nimetumwa pesa kisha nikachapa mwendo...!!