Call / WhatsApp +255673378129

May 3, 2011

Hapa hakuna kinachoonekana kamwe....!!

Satellite Dish ya aina yeyote ukiiona imezibwa hivi jua ya kuwa hakuna kinachoonekana kwenye TV,kwa sababu tunaposet huwa tunalenga kwenye Satellite husika hivyo lazima kuwe na mawasiliano baina ya Dish na Satellite kwa mtindo wa kulenga,hivyo ikizibwa maana yake ni kukata mawasiliano baina ya Dish na Satellite,labda niwape faida wenye madish woote kama ukiona Dish lako halionyeshi la kwanza kufanya ni kuliangalia Dish lako je halijazibwa..?? pili angalia cable haijachomoka..?? vyote vikiwa sawa ndo unapaswa kumwita fundi kwani zaidi ya hapo kutakuwa na issue ya kiufundi zaidi..!!
Share:

May 1, 2011

KOTA ZA BANDARI ILIKUWA BWAAA...!!

 
Ufundi banaa huzidiana yaani kama ubabe...!!
Mbabe wako ndo mnyonge wangu n hilo halina ubishi na ndivyo ilivyotokea hapa..!!
Jamaa alipewa issue ya kuhamisha Dish toka maeneo ya K'koo na kuhamishia Kulasini katika kota za Bandari,Dish ilikuwa ni ya c band zile kuuubwa wenyewe walikuwa wanaangalia Local channel...!!
Ilimchukua siku tatu kucheza nayo lakini wapi wazungu walikataa,ikamlazi jamaa kunitafuta baada ya kukubali matokeo ya kuwa usipokubali kushindwa c mshindani,nami tena kama nimezaliwa nayo hayo madude nikafika eneo la tukio nikasababisha watu wachekecheke na TV yao kisha nikachukua kila kilicho changu bila kusahau nimetumwa pesa kisha nikachapa mwendo...!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita