Call / WhatsApp +255673378129

May 3, 2011

HOTEL INSTALLATIONS INAKUWA ILIVYOKUWA...!!

Hii inaitwa Multiswitch na mara nyingi hutumika mahotelini ama kwenye Apartment au hata kwenye nyumba binafsi,ila kazi yake ni kugawa Receiver zaidi ya moja kama uonavyo hapo,hizo cable zote zimeingia kwenye receiver....!!
Share:

Hapa hakuna kinachoonekana kamwe....!!

Satellite Dish ya aina yeyote ukiiona imezibwa hivi jua ya kuwa hakuna kinachoonekana kwenye TV,kwa sababu tunaposet huwa tunalenga kwenye Satellite husika hivyo lazima kuwe na mawasiliano baina ya Dish na Satellite kwa mtindo wa kulenga,hivyo ikizibwa maana yake ni kukata mawasiliano baina ya Dish na Satellite,labda niwape faida wenye madish woote kama ukiona Dish lako halionyeshi la kwanza kufanya ni kuliangalia Dish lako je halijazibwa..?? pili angalia cable haijachomoka..?? vyote vikiwa sawa ndo unapaswa kumwita fundi kwani zaidi ya hapo kutakuwa na issue ya kiufundi zaidi..!!
Share:

May 1, 2011

KOTA ZA BANDARI ILIKUWA BWAAA...!!

 
Ufundi banaa huzidiana yaani kama ubabe...!!
Mbabe wako ndo mnyonge wangu n hilo halina ubishi na ndivyo ilivyotokea hapa..!!
Jamaa alipewa issue ya kuhamisha Dish toka maeneo ya K'koo na kuhamishia Kulasini katika kota za Bandari,Dish ilikuwa ni ya c band zile kuuubwa wenyewe walikuwa wanaangalia Local channel...!!
Ilimchukua siku tatu kucheza nayo lakini wapi wazungu walikataa,ikamlazi jamaa kunitafuta baada ya kukubali matokeo ya kuwa usipokubali kushindwa c mshindani,nami tena kama nimezaliwa nayo hayo madude nikafika eneo la tukio nikasababisha watu wachekecheke na TV yao kisha nikachukua kila kilicho changu bila kusahau nimetumwa pesa kisha nikachapa mwendo...!!
Share:

HOUSE'S TOO CHEAP FOR SALE AT MBEZI LUIS..!!

NYUMBA INAUZWA MBEZI LUIS KWA FUNGO MIL.45
 

Muonekano kwa nje.





   Kwa uwani ndani ya uzio.                                                Kwa nje kupitia getini.   











                   Kwa uwani ndani ya uzio.


 Kwa uwani ndani ya uzio.

Ipo maeneo ya Mbezi luis kwa fungo,unaingia ndani kidogo toka Morogoro rd.Nyumba ni self-3 bed rooms,kitchen,toilet,store,sitting room na ina vyumba vya uwani v3,choo cha nje,pia inauwanja mkubwa wa kujenga nyumba kubwa uliozungushiwa ukuta na parking ya magari ndani ya gate.
Umeme ni LUKU.
Bei ya kuuza ni mil 45.Mazungumzo yapo hapo tutakapokutana na mnunuzi.
 Kwa maelezo zaidi piga simu no.+255659937711/+255763973797 au tuwasiliane  kwa
email: mustaphamadish@gmail.com
                      
                                                                                                                                                     

PLOT FOR SALE AT BAGAMOYO MJINI MIL.3 
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya Bagamoyo maeneo ya nia njema karibu na shule ya msingi nia njema.Ukubwa wa kiwanja ni robo heka.Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa no. +255659937711

                                                                                                                                                      
  
PLOT FOR SALE AT BAGAMOYO MJINI MIL.3
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya Bagamoyo kidongo chekundu.Ukubwa wa kiwanja ni robo heka.Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa no.+255659937711

                                                                                                                                                       

HOUSE FOR SALE AT MAGOMENI MAPIPA MIL.250.
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya Magomeni mapipa mtaa Idrisa ni muundo wa National housing,ina vyumba 6 ndani,vyumba vitatu vya uwani,jiko,choo na store.Kwa maelezo zaidi piga simu no.+255659937711
Share:

Nawatakia sikukuu njema wajenga nchi wenzangu !

Leo ni tarehere 1 mwezi wa 5,kila tarehe hii imekuwa tunasherehekea sikukuu ya wafanyakazi,lengo na madhumuni ni kuthamini uwepo wa wafanyakazi na kukutana pamoja kuonyesha na kuzunguza ambayo yanaweza yakatupa changamoto wafanyakazi wa kila idara,huu ni mtazamo wangu kwa upeo wangu mdogo nilionao juu ya siku hii ya leo,pengine wewe unajua zaidi ya hii...!!
Hivyo popote mlipo nawatakia sikukuu njema watanzania wenzangu na msio watanzania pia maana lengo ni kujenga nchi huku mkono ukienda kinywani na maisha yakiendelea.
Kwa mwaka huu imefanyika kitaifa Morogoro mgeni rasmi akiwa mkuu wa nchi,binafsi napenda kuchukua nafasi hii kuwahusia vijana wenzangu kufanya kazi kwa bidii huku tukikumbuka ya kuwa "CHEZA NA MSHAHARA NA SI KUCHEZA NA KAZI" maisha mazuri hayaji kiurahisi yatupasa kufanyakazi kwa bidii sana na mliopo shule msome kweli maana kadri siku zinavyozidi kwenda maisha yanazidi kuwa magumu.
Ni hayo tu kwa leo wajameni....!!!
Share:

Apr 9, 2011

CARs FOR SALE....!!!

 Starlet Mil.4,500,000

 Noah Mil.13,500,000

 Vitz Mil.6,500,000

 Spacio Mil.8,600,000

GX110 Mil.13,500,000

For more informations call us +255659937711,mustaphamadish@gmailcom.
Pia tuna gari aina mbali mbali.
Share:

Mar 15, 2011

DISH INAPOTUMIKA NA WAJENZI....!!

Hilo hapo chini ni Dish Antenna aina ya c band,unaweza ukasema pengine anashughulika ili watu waone picha but c kama udhaniavyo...!!




Mimi niliishia hapa ila kilichoendelea nadhani hata wewe mwenyewe unapata picha...!!
Share:

Feb 3, 2011

AJALI WAJAMENI...!!

Kilichotokea hapa hakuna anayejua,hii nimeipata katika pita pita zangu mtandaoni lakini dah..!!
hapa inavyoonyesha jamaa hakuweza hata kutumia kama paa matokeo yake alienda kupima kule kwenye vyuma chakavu..!! 
Share:

Jan 20, 2011

Poleni sana wadau....!!

Baada ya mbio za mbali na nyumbani sasa nimerejea kama kawaida...!!
Huku nikiwa nimeona na kujifunza meengi,kiukweli nimeongeza vitu vingi kwa muda mchache ambapo awali nilikuwa sina mawazo hayo,naomba niishie hapa najipanga ili tuweze kushea kile ambacho nimepata.....!!!
Zaidi ya yote samahani wale wote waliokuwa wanapata usumbufu jinsi ya kunipata ila email ni nyingi sana lakini zote nitazijibu wala msijali...!!
Share:

Jan 10, 2011

nimewamiss sana wajameni...!!

ebwana dah....!!
Kitambo kidogo sipatikani hewani kwa no.za tz huku wengi nikiwapa shida jinsi ya kunipata na lawama zikiwa zimejaa gunia..!!
Nipo sehemu ambayo ni nadra sana kukutana na mtu mwenye ngozi kama yangu nyeusi,pia kiswahili ndicho hakisikiki kabisaaa...!!
Ila ni mbio tu i wish nitakuwa home soon banaa....!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita