Call / WhatsApp +255673378129

May 26, 2011

ARABISAT..!!

Jana nilikuwa maeneo fulani hivi wanapaita mwinyimkuu magomeni,hapa nilisababisha channels za kiarabu kama zijulikanazo ARABISAT kwenye dish ya c band ft6 na mzee alizipata channels hizi zifuatazo maana ndo mahitaji yake:-
JSC
Syrian TV
Southern Sudan
AD Alouta
Oman TV
Kuwait TV
Saudi TV
Qatar TV
Sharjah TV
Saud-Quran
Sudan TV
Saud-Sunnah
TVE-Internacional
Baada ya hpo nikamfungia na Antenna ya EUROMIND ili aweze kutumia king'amuzi na channels za Local kwenye TV bila kutumia king'amuzi.
Kisha tukasign out na crew yangu..!!
Share:

May 19, 2011

MWENDO NI ULE ULE...!!

 Wa nyumba hadi nyumba jengo hadi jengo ilihali dunia tunaileta nyumbani kwako ukiwa TV yako hata kama black n white utaifurahia...!!


Hapa ni maeneo ya sinza hapa nimeacha channel za gospel zikiendelea kama kawa ila usitishike na hiyo lebo ya DSTV ni dish tu,kutokana na ukweli kwamba dish zinaingiliana..!!

Share:

May 16, 2011

UNAILINDA VIPI DISH YAKO NA MVUA..??

 Ni jambo la kawaida mtu kulinda chake ili kidumu milele,hapa tunaweza kuona jambo ambalo watu wengi ambao wanamiliki madish wanapenda kulifanya kwa kuzuia mvua.....!!
Je wewe unalindaje dish lako...??




Share:

TUHESHIMIANE JAMANI....!!!

 Ni kawaida ya kuwa mtu ukifunga dish lazima nyumba iwe na hadhi fulani hivi ila kwa hapa tutaenda sawa tu ukiambiwa uishi upendavyo huku machannel ya kitu cha Dish yakipatikana kama hivyooo uonavyo....!!
 

Share:

May 14, 2011

Hakuna kinachoshindikana...!!

Share:

May 11, 2011

Mwanaume anasifiwa kazi...!!

Matembezi kwetu ni kama kawaida,hapa tumerejea tena kwa mdada mmoja hivi yupo maeneo ya Mbezi sala sala n mambo yakawa mswano,kana kwamba tunabomoa kumbe ndivyo twatengeneza...!!

Hii ni twin KU lnb kwa ajili ya channel za Gospel.


 Hii ni twin KU na twin C BAND,maana yake utapata channel za Local na Gospel na hiyo dish ndogo ni kwa ajili ya DSTV.

Share:

May 10, 2011

Nyumbani kwangu pia...!!

Icje ikawa ikawa kama fundi nanii yeye anatengenezea wenzie vitanda hali ya kuwa yeye analala chini...!!


Hii ni dish ya DSTV na hapa ni nyumbani kwangu ambapo napata usingizi,hivyo nami maisha yanaendelea kama ambao nawafungia hayo madish..!!
Share:

May 8, 2011

WEEK END KWETU HAINA TOFAUTI NA MONDAY..!!









Week end kwetu ni kama Monday vile maana mbio ndizo zilezile,7bu tupo kwa ajili ya kuwafurahisha wengine,huku yetu yakituendea vema...!!
Hapa ni katika J2 ya leo maeneo ya kulasini nishauza hapo na sasa naelekea sehemu moja wanapaita Tabata pale maeneo ya swiz pub...!!
Share:

May 7, 2011

WENYE KUMBI ZA KUONYESHA MPIRA KUPITIA DSTV IMEKULA KWAO...!!!


 Ni kilio cha watanzania wengi pande mbili kwa wakati mmoja,namaanisha kwa wale wapenzi wa mpira ligi za nje na wale wamiliki kumbi hizo...!!
MULTICHOICE TANZANIA ( DSTV ) kwa sasa ipo katika operations ya kuwafungia wale wote ambao walinunua DSTV kwa matumizi binafsi matokeo yake wakaenda kufanyia biashara kwa kutoza watu kiingilio na kufanya idadi ya wamiliki kumbi za kuonyesha mpira kuongezeka kila kukicha,huku idadi ya wateja wa kawaida kupungua kutokana na wengi kuangalia kupitia kumbi za mpira hizo....!!
Wapo ambao lishawakumba hili na kama wewe bado yakupasa ujiandae kwani wapo njiani,labda itangua ngumu kwa wale wenzangu namie walio ndani ndani,huku mafundi wao wakiwalinda maana ndo watoa taarifa wa kwanza...!!
Je hii ni kweli itaongeza wateja maana hakutakuwa na kumbi za mpira na kuwalazimu wapenzi wa mpira kufunga DSTV majumbani mwao...!!
Share:

May 6, 2011

NIPO KWENYE RESEACH ZAIDI....!!!

 
Kila kukicha yanazaliwa mapya nami naumiza kichwa kwenda sawa katika ukanda wangu huu....!!
Mfano leo Tanzania yetu imekuwa na mfumuko wa ving'amuzi na kufanya pia ufungaji wa madish kupunua ila mwisho wa siku bado dish linskuwa dish na king'amuzi kinabaki kuwa king'amuzi....!!
Ambacho wengi hawajui hata hayo makampuni yenye kuuza vinga'amuzi wanatumia Satellite Dish kukamata hizo channel zote zinazoonekana kwenye ving'amuzi vyenu..!!!
Hii inathibitisha ya kuwa still Dish itakuwa juu na ving'amuzi kufuata..!!
Ila kwa upande wangu nipo kwenye reseach ya kutaka kujua channel zote zilizopo kwenye Satellite ulimwenguni ambazo zinapatikana Africa pia zile zinazotumika na makampuni na kufungwa na kuwa za kulipia....!!
Lengo ni kupanua uwezo wangu katika fani hii na nashukuru mungu nimepata speed ambapo nimefanikiwa kwa kiasi fulani....!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita