Call / WhatsApp +255673378129

Jul 5, 2013

BAHARI BEACH LODGE TENA!


Kumbu kumbu yangu ni siku kadhaa nyumba nilifanya ya kupendeza na ndo sababu iliyopelekea nikaitwa tena leo!
Kazi ilikuwa si kubwa sana ijapokuwa kwa asiyejua angemaliza hata mwaka na asingeambulia kitu!
Hapa DSTV ilikuwa time ya jioni inapoteza signal,ila wakati wa asubuhi na mchana mambo huwa shwari..
Tatizo ilikuwa lipo kwenye dish kwa maana nyengine signal ilikuwa imepungua hivyo kunapokuwa na upepo mkali hupotea kabisa!
so nikafanya nilichopaswa kufanya kisha nikashaa!!!
KAMA NAWE UNATATIZO KIUFUNDI ZAIDI USISITE KWENDA HEWANI:
+255659161111

 Ilipo Dish Setting zikiendelea!

 Bahari Beach Lodge Mapokezi

 Kupumzika imoo!!

 Hapa hakuna signal hivyo haiwezi kuscan!

 Baada signal kuingia!

 Hapa imeanza kuscan!
Share:

Jun 30, 2013

CNN!! ZAIDI YA CHANNEL 50 BURE!!

Matakwa ya mteja ndo wajibu wangu kila siku maana nipo kwa ajili ya kukufanya wewe upate furaha kwa unachokihitaji!!
Alinipigia simu na shida yake ilikuwa kupata CNN na BBC free kama inawezekana maana yeye hataki mambo ya kulipia lipia!
Nikamwambia inawezekana tena zaidi ya hizo anazozitaka yeye!
Nikatumia Dish ft 6 na LNB KU pale muda c muda channels zaidi ya 50 jamaa akabaki anacheka cheka tu!
Nikakinga nikakunja na kuachapa mwendo!
Maeneo ya msasani pale haya waungwana x nyngne tena!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita