Call / WhatsApp +255673378129

Jul 14, 2013

CHANNEL ZA TANZANIA ZINAKAZIA SWAUMU!

 Hapa nawatafuta Watanzania
Yap ni siku nyengine tena tunaamshwa vema na muumba nikiwa na afya njema na nafanya yangu kama kawa!
Nimeamkia sehemu moja wanapaita sinza,hapa nilitakiwa kufanya channel za Local zionekane vema na ndo nilichofanya ingawaje kwa channel za Tanzania TBC1 na STAR TV zinasumbua kwenye futi sita,angalau STAR TV wakati mwengine inatulia,ila hii kwenye futi nane haipo,kama utatumia dish futi nane channel zote za Tanzania zitaonyesha vema

 Hapa naingiza frequency
Nikafanya ya kufanya kama ilivyo ada yangu na mwisho wa siku nikaacha watanzania wanatawala kama kawa ingawaje TBC iligoma kabisa ila STARTV ilikuwepo imejaa tele!
Pia kwenye futi 6 kuna CITIZEN pia.

Share:

Jul 12, 2013

EMANUEL TV channels zaidi ya 50 BURE!!


Inatumia dish ndogo lugha ya kitaalamu inaitwa KU,unapata kuona channel zifuatazo ila nyingi zikiwa za gospel.Vifaa vinavyokamilisha set hii ni:-lnb KU,Receiver,Dish KU,Cable,F connectors.
Channel ZN
CNTV
ACNN
My tv promo
Celebration TV
Bethesda TV
CVV
Omega
ACBN
Chosen TV
HO TV
Champions TV
ITVN
Prophetic Channel
3ABN
Viewsat Promo
Sprit World
Blessing TV
Hosanna
Ahlulbayt TV
MFM TV 
New frontiers TV
RAK TV
Success TV
Charis TV
Mercy TV
ADBN
KICC TV 
ABN
Angel TV Africa
Olive TV
BETV
Spare slot
Muvi TV Africa un
Messiah
Oracle TV
Miracle TV
Madani chnl
Inspiration TV
Praise TV
JCC TV
Dunamis TV
God TV
Evangel TV
Spare_slot 4
Dove vision
El Shaddai
Channel 44
i Film
WRS
Love World
Starcross TV
Emanuel TV
Christian
KLN TV

Share:

Jul 5, 2013

BAHARI BEACH LODGE TENA!


Kumbu kumbu yangu ni siku kadhaa nyumba nilifanya ya kupendeza na ndo sababu iliyopelekea nikaitwa tena leo!
Kazi ilikuwa si kubwa sana ijapokuwa kwa asiyejua angemaliza hata mwaka na asingeambulia kitu!
Hapa DSTV ilikuwa time ya jioni inapoteza signal,ila wakati wa asubuhi na mchana mambo huwa shwari..
Tatizo ilikuwa lipo kwenye dish kwa maana nyengine signal ilikuwa imepungua hivyo kunapokuwa na upepo mkali hupotea kabisa!
so nikafanya nilichopaswa kufanya kisha nikashaa!!!
KAMA NAWE UNATATIZO KIUFUNDI ZAIDI USISITE KWENDA HEWANI:
+255659161111

 Ilipo Dish Setting zikiendelea!

 Bahari Beach Lodge Mapokezi

 Kupumzika imoo!!

 Hapa hakuna signal hivyo haiwezi kuscan!

 Baada signal kuingia!

 Hapa imeanza kuscan!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita