Call / WhatsApp +255673378129

Jul 21, 2013

OFFER YA DSTV KWA 149,000/=

Ni kawaida kila ikikaribia msimu wa kandanda ama kukiwa na sikukuu DSTV hutoa OFFER kwa wateja wake ambao wanahitaji kujiunga na huduma zao!!
Now ndo muda umewadia kwa wale wote ambao wanataka kujiunga na DSTV na walikuwa wanangoja time hii ya offer imewadia wale mabingwa wa maswali jibu ndo hili kuhusu urahisi wa kujiunga na DSTV!
Wala usipate tabu unaweza wasiliana nami na nikafanya ukawa mwanafamilia wa dstv kwa 149,000/= vifaa vyote kisha unachagua package uipendayo ili ufurahie maisha!!
Na kwa wale wateja wa zamani kama dish yako inasumbua ama unataka kuhama usisite kupiga 
+255 659 161 111
+255 714 973 797
Share:

Jul 20, 2013

EMANUEL TV IMENIPELEKA KUNDUCHI 170



Jumapili tulivu hali ya hewa ikiwa haieleweki mara jua mara kiwingu na manyunyu yakichukua nafasi!
Panaitwa Kunduchi ila wenyeji wanapaita Kunduchi 170,hapa ilikuwa wanaona DSTV awali ila kutokana na maamuzi yao wakataka DSTV igeuke na kuwa Emanuel tv nami nikaona hakuna ubaya ila tu niliwaeleza ya kuwa ili waone Emanuel tv lazima wawe na Receiver isipokuwa dish zinaingiliana!
Uzuri Receiver walikuwa nayo hivyo haikuwa issue kazi ikaanza kipindi cha kufanya fanya setting kimefika tatizo likawa remote,receiver bana haikuwa na remote dah sasa itakuwaje!?
Ikanilazimu nimuagize mtu aniletee receiver ili nifanye setting zangu kipindi ambacho remote ya receiver husika ikitafutwa!
Baada ya muda mambo yakawa mambo imenuel tv ikaamia Kunduchi!!

Hapa ikiwa badi DSTV

 Hapa ndio bomoa bomoa!
Hapa Emanuel tv imepatikana!

Ndo hivyo tena!
Share:

Jul 18, 2013

KAZI YANGU KUKUFURAHISHA WEWE!

 Kama kawa kama dawa ndo ambacho naweza kusema kwa wakati huu!
Hapa ni maeneo ya Urafiki njia panda pale ya kwenda mabibo!
Hapa Local ilikuwa inasumbua na DSTV pia,hivyo kilichotakiwa nikifanye ndo nikafanya na kuwaacha wenyeji  wakicheka cheka tu!
Nikachukua vyangu na kuchapa mwendo!
 
 HAPA SETTING ZIKIENDELEA
Mambo yanaendelea kama kawaida hapa ili tu kufanikisha mambo kukaa sawa!



Share:

Jul 15, 2013

JUMLA YA CHANNEL 6 TU ZA TANZANIA KWA TV ZAIDI YA 50!


 Je wajua unaweza kufunga idadi ya channel utakazo kwa idadi ya tv zako na kila tv ikajitegemea kubadili na kuangalia channel uipendayo pasi kuingiliana na tv nyengine!
 Hii x nyingi inafanyika maofisini,mahotelini ama kwenye Apartment ila hata popote upendapo unaweza ukafanya hivi!
 RECEIVER 6 KWA CHANNEL 6
 Kama unaswali lolote la kiufundi ama huduma ni wewe tu kuchukua simu yako na kubofya no hii:
+255 714 973 797
Popote Tanzania.
Share:

Jul 14, 2013

CHANNEL ZA TANZANIA ZINAKAZIA SWAUMU!

 Hapa nawatafuta Watanzania
Yap ni siku nyengine tena tunaamshwa vema na muumba nikiwa na afya njema na nafanya yangu kama kawa!
Nimeamkia sehemu moja wanapaita sinza,hapa nilitakiwa kufanya channel za Local zionekane vema na ndo nilichofanya ingawaje kwa channel za Tanzania TBC1 na STAR TV zinasumbua kwenye futi sita,angalau STAR TV wakati mwengine inatulia,ila hii kwenye futi nane haipo,kama utatumia dish futi nane channel zote za Tanzania zitaonyesha vema

 Hapa naingiza frequency
Nikafanya ya kufanya kama ilivyo ada yangu na mwisho wa siku nikaacha watanzania wanatawala kama kawa ingawaje TBC iligoma kabisa ila STARTV ilikuwepo imejaa tele!
Pia kwenye futi 6 kuna CITIZEN pia.

Share:

Jul 12, 2013

EMANUEL TV channels zaidi ya 50 BURE!!


Inatumia dish ndogo lugha ya kitaalamu inaitwa KU,unapata kuona channel zifuatazo ila nyingi zikiwa za gospel.Vifaa vinavyokamilisha set hii ni:-lnb KU,Receiver,Dish KU,Cable,F connectors.
Channel ZN
CNTV
ACNN
My tv promo
Celebration TV
Bethesda TV
CVV
Omega
ACBN
Chosen TV
HO TV
Champions TV
ITVN
Prophetic Channel
3ABN
Viewsat Promo
Sprit World
Blessing TV
Hosanna
Ahlulbayt TV
MFM TV 
New frontiers TV
RAK TV
Success TV
Charis TV
Mercy TV
ADBN
KICC TV 
ABN
Angel TV Africa
Olive TV
BETV
Spare slot
Muvi TV Africa un
Messiah
Oracle TV
Miracle TV
Madani chnl
Inspiration TV
Praise TV
JCC TV
Dunamis TV
God TV
Evangel TV
Spare_slot 4
Dove vision
El Shaddai
Channel 44
i Film
WRS
Love World
Starcross TV
Emanuel TV
Christian
KLN TV

Share:

Jul 5, 2013

BAHARI BEACH LODGE TENA!


Kumbu kumbu yangu ni siku kadhaa nyumba nilifanya ya kupendeza na ndo sababu iliyopelekea nikaitwa tena leo!
Kazi ilikuwa si kubwa sana ijapokuwa kwa asiyejua angemaliza hata mwaka na asingeambulia kitu!
Hapa DSTV ilikuwa time ya jioni inapoteza signal,ila wakati wa asubuhi na mchana mambo huwa shwari..
Tatizo ilikuwa lipo kwenye dish kwa maana nyengine signal ilikuwa imepungua hivyo kunapokuwa na upepo mkali hupotea kabisa!
so nikafanya nilichopaswa kufanya kisha nikashaa!!!
KAMA NAWE UNATATIZO KIUFUNDI ZAIDI USISITE KWENDA HEWANI:
+255659161111

 Ilipo Dish Setting zikiendelea!

 Bahari Beach Lodge Mapokezi

 Kupumzika imoo!!

 Hapa hakuna signal hivyo haiwezi kuscan!

 Baada signal kuingia!

 Hapa imeanza kuscan!
Share:

Jun 30, 2013

CNN!! ZAIDI YA CHANNEL 50 BURE!!

Matakwa ya mteja ndo wajibu wangu kila siku maana nipo kwa ajili ya kukufanya wewe upate furaha kwa unachokihitaji!!
Alinipigia simu na shida yake ilikuwa kupata CNN na BBC free kama inawezekana maana yeye hataki mambo ya kulipia lipia!
Nikamwambia inawezekana tena zaidi ya hizo anazozitaka yeye!
Nikatumia Dish ft 6 na LNB KU pale muda c muda channels zaidi ya 50 jamaa akabaki anacheka cheka tu!
Nikakinga nikakunja na kuachapa mwendo!
Maeneo ya msasani pale haya waungwana x nyngne tena!
Share:

Jun 29, 2013

TRANSIT MOTEL TENA!


TRANSIT MOTEL AIRPORT 

Nilianzia pale uwanja wa ndege na kisha nikaenda fanya ya kupendeza palee njiapanda ya sitakishari!
Kazi niifanyayo ndo inapelekea mwengine akosolewe maana huwa lazima mteja awe nae kama fundi penye tatizo namsomesha mpaka anaelewa n hata anapotoa pesa yake anajua inatoka kwa mahitaji gani!
Binafsi huwa najisikia furaha kuona namfanyia kazi mtu na mwisho wa siku yeye anapata kile alichokitegemea ama zaidi,kicheko chake mwanya mwengine kwangu!
Nikachukua vyangu na kuaga huku nikikaribishwa tena wakati mwengine!

TRANSIT MOTEL UKONGA
Share:

Jun 28, 2013

ARABSAT IMENIPELEKA MWANDEGE!

 HAPA NATAFUTA WAARABU
Sikuwahi kufika wala kutarajia kufika kabla ila kwasababu wewe ndo wa kufanya niende popote hivyo sina pingamizi na najivunia kazi yangu maana faida ya pili kuijua Tanzania kwa vitendo!
Kwa wenyeji wanasema Mwandege ni nje kidogo mwa mkoa wa Dar,hivyo sina la kupinga zaidi ya kulichukua na kutembea nalo kama hivi!

 HAPA NAUNGA UNGA

UNGA UNGA INAENDELEA
Hapa nilitakiwa kuwahamisha waarabu walipo na kuwaleta hapa,jambo hilo kwangu halikuwa gumu kihivyo... nami nikafanya fanya yangu kwa kuunga unga Dish na nikawavuta waarabu wakajaa tele!
Baada ya hapo nikachukua vilivyo vyangu na kuchapa mwendo!
0714973797 kiufundi zaidi!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita