Maswali yamekuwa mengi mkiniuliza mnawezaje kupata Decoder za Aljazeera sports ila jibu huwa nalitoa moja tu kama ilivyo kwa Abudhab Sport pale awali...!!
Hii kampuni haina wakala hapa bongo na kama yupo mi simfahamu maana kila ninyemfungia anakuwa anaagiza mwenyewe ama nafanya muunganiko then nawaacha wakubaliane jinsi ya kuagiza kutoka kwa waarabu!!
Hii pia mwendo ule ule jamaa katoka nayo mwenyewe mimi nilichofanya kutafuta dish inayofaa na kuleta ufundi wangu na mwisho wa siku yakawa yaliyokuwa!!
Hapa naangalia cha kuchukua ili nisababishe!
Hapa nafunga stend baada ya kudril!
Hapa nafunga Dish kwenye stend!
Hapa tayari imekaa still!
Hapa tayari kwa kuanza kufanya setting!
Hii ndio Decoder ya Aljazeera Sports
Hapa vipi!!??