Awali zilianza channels 52 huku ahadi ikiwa zitakuwa zinaongezeka kila baada ya muda,wapo ambao waliamini na wapo waliodhani ni katika kutaka kuuza tu!
Kuanzia tarehe 28 mwezi wa pili utekelezaji ulianza kwa zile channels ambazo zilikuwa zinauliziwa sana ITV na EATV baada ya siku kadhaa FX na FOX INT nazo zimeongezwa!
Huu si mwisho bali ni muendelezo wa huduma bora kwa kile mnachokihitaji!
Channels nyengine zinakuja unaweza ukatoa maoni yako je unapendelea channels gani ziongezwe!!??
Kuanzia tarehe 28 mwezi wa pili utekelezaji ulianza kwa zile channels ambazo zilikuwa zinauliziwa sana ITV na EATV baada ya siku kadhaa FX na FOX INT nazo zimeongezwa!
Huu si mwisho bali ni muendelezo wa huduma bora kwa kile mnachokihitaji!
Channels nyengine zinakuja unaweza ukatoa maoni yako je unapendelea channels gani ziongezwe!!??