Call / WhatsApp +255673378129

Jun 25, 2014

AZAM TV - MASAKI

 Wanapaita ushuani kule upepo unapovuma!
Masaki jijini Dar es salaam!
Azam tv tumetekeleza ile kauli mbiu ya burudani kwa wote!
 Yap!

Kazi Safi!
Hii ni moja kati ya kazi nyingi nilizopata kupitia hii blog,ubora wa kazi yangu na uaminifu ndo sababu ya kufanya kila kukicha idadi ya wadau kuongezeka ni jambo la kushukuru na zuri kwangu!
Namba yetu ile ile +255789476655


Share:

Jun 19, 2014

AZAM TV BURUDANI KWA WOTE INAPOPATIKANA

 Moja ya kazi safi kati ya nyingi!
King'amuzi kinachofanya vizuri nje na ndani ya Tanzania.
.Kwa Vipindi vya nyumbani, ligi za nyumbani na burdani kibao.
Kwa malipo ya mwezi kuanzia 15000 ama kwa wiki kuanzia 5000.
Tupo tayari kukuunganisha sasa na kwa wakati..
Unaweza kupiga no.+255789476655/659161111.
Huduma pia yaweza kukufuata ulipo!
Share:

KAMA KAWA KAMA DAWA!


Dish inavyostahili kufungwa,hapa itapita miaka mpaka kuitwa tena!

Nishafanya yangu ya kupendeza na kuacha wadau wa Azam tv wakila burudani!
+255659161111 Mustapha MaDish
Share:

Jun 18, 2014

DSTV TANZANIA IMETUPELEKA JANGWANI


...kuna mtu aliwahi kusema watu waishio mabondeni ili waweze kuhama watolewe huduma zote muhimu ikiwemo Umeme..
Leo napata jawabu hapa kwa mfano kama ingelikuwa aliyesema ndiye Meneja wa Tanesco sidhani kama angelisema hivyo..
Kama kweli umeme ungetolewa maana yake hata mimi leo nisingepata nafasi hii ya kuipeleka DSTV jangwani maana ni nyumba ya mwisho kabla ya kuufikia mto msimbazi..
Mengine muachie baba na mama!
PIGA +255789476655






Mwisho wa yote tukachapa mwendo!
Share:

Jun 13, 2014

BRAZIL YAANZA KWA KUITANDIKA CROATIA 3-1

 
YOTA aliyebeba matumaini ya Wabrazil wengi, Neymar amefunga mabao mawili
usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa
ufunguzi wa fainali za kombe la dunia.
Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali na aliongeza bao
 la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati
yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia madhambi Fred.


 Kipa wa Croatia stipe Pletikosa akijaribu kuokoa shuti la neymar lakini aliambulia patupu!

Mkwaju wa penati wa Neymar kipa japo aliigusa lakini hakuweza zuia kuingia nyavuni!
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa
kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.

 Mercelo akijifunga mwenyewe
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa.Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao.

 Neymar aliyefunga bao mbili!

source:Shaffih Dauda
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia madhambi Fred.Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwaMambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao

Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.ypK7U03G.dpuf
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.pE8rt4Tk.dpuf
NYOTA aliyebeba matumaini ya Wabengi, Neymar amefunga mabao mawili usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa ufunguzi wa fainali za kombe la dunia. 
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.pE8rt4Tk.dpuf
Share:

Jun 10, 2014

VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA KOMBE LA DUNIA BRAZIL



Estadio Beira-Rio
porto alegre

Arena Da Baixada
curitiba


Arena De Sao Paulo
sao paulo


Estadio Do Maracana
rio de janeiro

Estadio Minerao
belo horizonte

Estadio Nacional
brasilia

Arena Pantanal
cuiaba

Arena Fonte Nova
salvador

Arena Pernambuco
recife

Estadio Das Dunas
natal

Estadio Castelao
fortaleza

Arena Amazonia
manaus
Share:

TATIZO LA AZAM TV



TUNAWAOMBA RADHI KWA USUMBUFU MLIOUPATA NA MNAOENDELEA KUUPATA...
Yapata wiki sasa Decoder za Azam tv zimekauka na huwa tunapata wakati mgumu sana kuwaruhusu wateja wangu kuondoka pasipo kupata walichokitegemea.....
TATIZO LIPO NJE YA UWEZO WETU ILA LINAFANYIWA KAZI KWA NGUVU ZOTE TOKA MAKAO MAKUU...
Tunachowaomba msituchoke,tunaomba muendelee kuwa wavumilivu na muda wowote toka sasa hduma zitaendelea kama ilivyo ada kuwauzia na kuwafungia wateja wapya!
TUNAWASHUKURU KWA KUWA WAELEWA..
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wateja wetu wapya kwa uelewa mlio nao!
+255789476655 KWA MSAADA ZAIDI
Share:

Jun 8, 2014

ANGALIA WORLD CUP FREE!!

Yap! Pengine unaanza kujiauliza unawezaje!? Je unawaibia DStv!!??
Jibu hapana,bila kumuibia mtu kwa kutumia Dish lako dogo unaweza ukaona mpira buree nyumbani kwako!
Hii inahitajika Receiver,Dish KU,Cable,KU lnb baada ya  hapo kabumbu inahamia nyumbani kwako bila malipo yeyote ya mwezi!

Hapa watu wanacheck mpira ndani!
Kwa maelezo zaidi +255789476655 Mustapha MaDish


Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita