Call / WhatsApp +255673378129

Oct 18, 2015

OCTOBER 25 | FANYA KWELI



NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA
Popote nitasimama na kujivunia kuwa mtanzania mzawa,najivunia lugha yetu kiswahili najivunia na mengi mazuri yaliyopo nchini mwangu,nchi huru ambayo najisikia kufanya chochote wakati wowote pasi tu kuvunja sheria...
AMANI  IMESABABISHWA NA UPENDO
Ni jambo tunalojivua mpaka leo hii,sababu kubwa ikiwa ni upendo tulionao baina yetu.Daima tujitahidi kuidumisha amani hii tuliyonayo ambayo ni kama ndoto kwa baadhi ya mataifa mengine.
KIZAZI CHA DIGITAL
Kuna kundi kubwa la vijana ambao naweza kusema ni kizazi cha Digital,nikiwa na maana yakuwa ndio wenye chachu kubwa ya kutaka mabadiliko kuliko kizazi cha Analogue..
UNA KADI YA KUPIGIA KURA?
Zimebaki siku chache mnoo! swali langu ni kwamba una kikatio? ama unampigia kampeni tu mgombea unayempenda ila kura humpigii!!? Je umefikisha umri wa kupiga kura ama unabishana tu kuhusu mgombea unayeona anafaa!?
KWANINI UNAMCHAGUA!?
Unayekusudia kumchagua siku ya kupiga kura october 25,umejiuliza ni kwanini unamchagua!? Unamfahamu? Umekula pesa yake? Unaamini atatekeleza kile alichoahidi? Unampenda tu? Ama kwanini!!?
OCTOBER 25 USIFANYE MAKOSA
Kura yako itasababisha kile unachokitarajia kutokea kitokee,unahitaji tutoke hapa tulipo tuelekee hatua nyengine nzuri zaidi? kura yako ndio itakayoleta mabadiliko hayo!
Tukapige kura tuwachague wale viongozi ambao tunaona watatuletea mabadiliko,watakaotuletea maendeleo na sio vinginevyo.
TUKUBALI MATOKEO
Uchaguzi wa mwaka huu ni tofauti na miaka yote kiukweli kabisa,mwaka huu ile hamasa imekuwa kubwa mno naweza kusema kile kizazi cha Digital hakitaki mchecho wanachotaka kuona mambo yanaenda sawa na si ubabaishaji.Kama ambavyo tunatokea wengi kwenye kampeni tunapaswa kutokea wengi kwenye kupiga kura pia.Jambo la kuzingatia ni kwamba tukubaliane na matokeo yatakayotokea kwa zile kura tutakazopiga.
Ili tuweze kuendelea kuilinda amani yetu tuliojaaliwa na Allah.
+255 MUNGU IBARIKI TANZANIA
Share:

Oct 15, 2015

ZUKU TV TANZANIA VIFURUSHI NA BEI MPYA


 Tsh 75000/= Unapata king'amuzi kikiwa na muda wa kuona wa mwezi mmoja.
Inakuwa na vifaa vyote kama:Dish,Decoder,LNB,Cable na stendi.
HII INAKUWA BILA UFUNDI 
Kwa sasa kuna vifurushi vinne tu navyo ni kama ifatavyo:-
  1. ZUKU CLASSIC TSH 15,500 Per Month - Channels 69. Bofya hapa
  2. ZUKU PREMIUM TSH 22,500 Per Month - Channels 100. Bofya hapa
  3. ZUKU ASIAN TSH 24,000 Per Month - Channels 27 Bofya hapa
  4. ZUKU ASIAN ( yenyewe ) TSH 32,000 Per Month - Channels 33 Bofya hapa
Kwa maelezo zaidi ama msaada kiufundi.
+255659161111/789476655
Share:

Oct 13, 2015

MIEZI MITATU BURE | TUKIKUHUDUMIA


Ikitokea umekuwa mteja wetu kwa mara ya kwanza tumekufungia king'amuzi chochote kile kati ya hivi:-
  • DSTV
  • STARTIMES
  • ZUKU TV
  • AZAM TV
  • CONTINENTAL
Tatizo lolote la kiufundi likitokea ndani ya miezi mitatu tutahusika kwa kukuhudumia pasi kulipia malipo ya ziada ikiwa halijasababishwa na mteja.
Ikitokea umetutafuta na tukakuhudumia kwa kufanya repair king'amuzi chako ambacho hujanunua kwetu,pia huduma hii itakuhusu baada ya kumaliza tatizo lako,nikiwa na maana ya kuwa baada ya huduma zetu ndani ya miezi mitatu tatizo likitokea tunakuhudumia bure.
Hii inajumuisha king'amuzi chochote kiwe cha bure ama kulipia,dish ndogo ama kubwa.

+255789476655
Share:

Oct 10, 2015

NUNUA KING'AMUZI UKIWA KWAKO


PIGA SIMU +255789476655
  • Jitambulishe na mahali ulipo.
  • Chagua king'amuzi chochote kwa matakwa yako.
  • Tutakushauri kabla hujanunua king'amuzi ulichokusudia na vyengine kama utapenda.
  • Tutakapofika muafaka unaletewa king'amuzi ulipo.
  • Na fundi anakufungia papohapo kama ukihitaji hivyo.
  • Kisha unafanya malipo ukiwa hapo ulipo baada ya kuletewa na kufungiwa.
 FAIDA ZA KUNUNUA NA KUFUNGIWA NASI:
  • Chochote kikitokea tunahusika asilimia 100
  • Fundi hatoondoka mpaka kuhakikisha umepata picha (umeona channel)
  • Ufundi ndani ya miezi mitatu ni bure baada ya kufungiwa.
  • Tupo kijamaa zaidi,wateja wetu ni ndugu zetu hivyo upo huru kuzungumza.

+255789476655
Share:

Sep 29, 2015

CHANNEL ZA LOCAL BURE | VING'AMUZI VYOTE







Utatumia king'amuzi gani!!?? Swali la kwanza ambalo naweza kukuuliza..
Najua kwa mapenzi ya king'amuzi ulichokichagua na kukinunua ukiachilia mapenzi yako ila umehitaji kuona na Local Channel maana yake uone mambo yanayoendelea nyumbani kwako ikiwemo taarifa ya habari.
Hivi unajua kama channel hizo zinatakiwa kuwa bure hata kama hujalipia malipo ya mwezi?
Pengine huzijui channel ninazozizungumzia hapa baadhi ni hizi :-
  • ITV
  • TBC
  • CLOUDS TV
  • CHANNEL 10
  • STAR TV
  • TV 1 
Je king'amuzi unachotumia salio likiisha zinabaki channel hizo!!??

Share:

Sep 6, 2015

KIFURUSHI CHA NYOTA TSH 9,000 | TSH 11,000

Kifurushi hichi kinapatikana kwenye kisimbuzi cha Dish na Anntena, ambapo kwenye Dish ni Tsh 11,000 na kwenye Antenna ni Tsh 9,000
Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Nyota:-
Kuna zaidi ya channel 30!

Channels za Dish:-
Filamu na Tamthilia
ST Zone
AMC Movies

Burudani
ST Kung fu
Startimes Real Time
E. Tv

Burudani za Kiafrika
St Dadin Kowa
TBC2
NTV Uga.
NBS
Silverbird
E Stars
ST Swahili

Michezo
ST Sports Focus

Habari
CGTN
TVC News
CNC World
NTA News 24
CGTN F
CCTV 4
Telesur Africa

Makala
 Safari tv
CGTN Doc.

Watoto
Smile of a child
Da Vinci
Mindset Learn

Chaneli za Nyumbani
 TBC
Clouds Tv
EATv
ITV
CHANNEL 10
STAR TV
TV E

Dini
St Gospel
Madani Channel
Tumaini Tv
Dove Tv
Iqraa
Upendo Tv

Muziki
Clouds Tv
Wasafi Tv

Chaneli za kwenye Kisimbuzi cha Antenna:-
Filamu na Tamthilia
ST Zone
ST Sino Drama

Burudani
ST Kung fu
Startimes Real Time
Wasafi tv

Burudani za Kiafrika
Citizen tv
E Stars
ST Swahili

Michezo
ST Sports Focus

Habari
CGTN

Makala
 Safari tv

Watoto
Smile of a child

Habari na Burudani
 TBC
Tv 1
Clouds Tv
EATv
TBC2
ITV
CHANNEL 10
STAR TV
TV E
Kwanza Tv

Dini
Arise and Shine
WRM
ATN
Tumaini Tv
Living Water
Upendo Tv
IBN Tv Africa
Iqraa
TBN

Chaneli za Tanzania
ST Guide
TBC 1
Tv 1
Channel 10
Star tv tz
ITV tz
EATV
Clouds Tv
Tv E
ATN
Safari Tv
Upendo Tv
Sibuka Maisha
Dar es salaam Only
Dira Tv
Arise and Shine
WRM
Tumaini Tv
Living Water
IBN Tv Afrika
Mlimani Tv
Tv Imaan
Kwanza Tv
Mwanza only
Barmedas Tv
Morogoro Only
Top Tv
Abood Tv
Iringa Only
Iringa Tv
Tanga Only
Tanga Tv
Arusha Only
ABC Tv

KUNUNUA | MAFUNDI | USHAURI NA MSAADA ZAIDI KUHUSU STARTIMES
MUDA  08:00 - 20:00
Piga | Whatsapp  +255789476655
Share:

Sep 3, 2015

TV 1 | IMEKUJA VIZURI SANA

Hii ni tv ya kitanzania iliyoanzishwa mwanzoni mwa mwaka jana,ambayo imejikita zaidi kwenye burudani nami nimekuwa nikiifatilia niseme tu ukweli ni tv 1 kweli kwa ambacho wanakifanya!
Inamilikiwa na kampuni ya sweden iitwayo ( MTG ) Modern Times Group.
Usiniambia kuwa hujawahi kuiona katika pita pita yako ya ving'amuzi.
Inapatikana Startimes na Azam tv hii ni ya bure wapendwa!

Share:

Sep 1, 2015

WAPENZI WA SOKA WAZIDI KULIA


Kwa siku kama nne hivi nimepokea simu nyingi sana zinazouliza kama kuna namna nyengine ya kuangalia mpira wa ligi za nje tofauti na dstv,sababu nikiuliza ni nini jibu jepesi sana ni kutokana na licha ya wadau kulalamika malipo ya mwezi yapo juu imeongeza tena toka leo hii tarehe moja na mbaya zaidi katika kifurushi cha Compact Plus hakuna tena kuona mpira kama ilivyo awali hii inamaanisha ili uangalie mpira ni lazima kulipia package ya Premium.
Kuhusu jibu njia gani nyengine ukiacha dstv unaweza ukaangalia mpira mimi naweza kusema hakuna ijapokuwa zipo,kwanini nasema hakuna ijapokuwa zipo,zote zilizopo hazina uhakika.
Kama ligi ya la liga unaweza ukaiona kupitia azam katika channel ya azam sport HD kwa tsh 15000 ambapo inakupa jumla ya channel 4 za michezo.
Wadau wanatamani kuona inatokea kampuni ambayo itakuwa unaonyesha mipira yote kwa bei nafuu tofauti na ilivyo sasa.
Bein Sport wapo ila baadhi ya mikoa ndio inakamata,ambapo watanzania na wapenzi wa mpira walitamani ipatikane kama ilivyo awali ilipokuwa Aljazeera.
+255789476655
Share:

Aug 31, 2015

SPORT PLUS | TSH 14,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha ziada cha Sport plus:-
Kuna channel 4!



SPORT ARENA
SPORT PREMIUM
SPORT LIFE
WORLD FOOTBALL


MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES | +255789476655
Share:

Aug 24, 2015

STARTIMES CHANNELS | KIFURUSHI CHA SUPER TSH 36,000

Malipo: Kwa mwezi Tsh 36,000
Kwa wiki Tsh 12,000
Kwa siku Tsh 3,600
Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Super:-
Kuna zaidi ya channel 95!



Filamu na Tamthilia
ST Zone
ST Sino Drama
ST One
St Yoruba
AMC Series
AMC Movies
ST Africa 2
ST Novela E1
St Novela E Plus
St Nollywood Plus
ST Series E1
ST Movies 1
St Movies Plus
ST Gold
ST Bollywood Africa
ST Bollywood
Z Cinema
FOX Life
FOX
Star Life
Star Gold
E. Stars
Mambo Tv

Burudani
ST Kung fu
St Rise
St Sino Drama
St Africa
Glow Tv
Colors
Magic 1 HD
E.tv
Startimes Real Time

Burudani za Kiafrika
 Citizen tv
 St Dadin Kowa
TBC 2
NTV Uga.
NTA Ke.
NBS
Silverbird
Sanyuka Tv
Orisun
Farin Wata
K24
Bukedde 2
KTN
Ebony Life
Wap Tv
ST Swahili

Michezo
ST Sports Arena
ST Sports Focus
FOX Sports
FOX Sports 2
FOX Sports Life
ST Sports Premium HD
ST World Football HD
Eurosports News
ESPN
ESPN 2
Fuel Tv

Habari
CGTN
BBC World News
Al jazeera
France 24
NTA News 24
CGN F
Telesur Africa
CCTV 4
Bloomberg Tv
TVC News
CNC World
MSNBC
FOX News


Makala
 Safari tv
Animaux
CGTN Documentary
Nat Geo Wild
Viasat History
Nat Geo Channel
Discovery Family
Discovery Science
Viasat Explore
ID
Love Nature
Smith Sonia

Watoto
Smile of a child
Mindset learn
Nickelodeon
JimJam
Baby Tv
Bloomberg Tv
St Kids
Da Vinci

Chaneli za Nyumbani
 TBC 1
Channel Ten
Safari Tv
Wasafi Tv
Clouds Tv
EATv
ITV
STAR TV
TV E

Dini
Tumaini Tv
Emanuel Tv
ST Gospel
Gospel Music Tv
Dove Tv
Iqraa Tv
Upendo Tv
EWTN
Madani Channel
Salam Tv

Muziki
ST SA Music
Trace Mziki
Clouds Tv
Nigezie
St Naija
Wasafi Tv
ST Soul
Classica

Staili za Maisha
Fine Living
Fashion One
E! Eng.
Real - Time

ZINGATIA:Washa Kisimbuzi chako, kisha ndipo ufanye malipo.
Instagram natumia @mustaphamadish
MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES 
Call / Whatsapp +255789476655
 
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita