Call / WhatsApp +255673378129

Oct 18, 2015

OCTOBER 25 | FANYA KWELI



NAJIVUNIA KUWA MTANZANIA
Popote nitasimama na kujivunia kuwa mtanzania mzawa,najivunia lugha yetu kiswahili najivunia na mengi mazuri yaliyopo nchini mwangu,nchi huru ambayo najisikia kufanya chochote wakati wowote pasi tu kuvunja sheria...
AMANI  IMESABABISHWA NA UPENDO
Ni jambo tunalojivua mpaka leo hii,sababu kubwa ikiwa ni upendo tulionao baina yetu.Daima tujitahidi kuidumisha amani hii tuliyonayo ambayo ni kama ndoto kwa baadhi ya mataifa mengine.
KIZAZI CHA DIGITAL
Kuna kundi kubwa la vijana ambao naweza kusema ni kizazi cha Digital,nikiwa na maana yakuwa ndio wenye chachu kubwa ya kutaka mabadiliko kuliko kizazi cha Analogue..
UNA KADI YA KUPIGIA KURA?
Zimebaki siku chache mnoo! swali langu ni kwamba una kikatio? ama unampigia kampeni tu mgombea unayempenda ila kura humpigii!!? Je umefikisha umri wa kupiga kura ama unabishana tu kuhusu mgombea unayeona anafaa!?
KWANINI UNAMCHAGUA!?
Unayekusudia kumchagua siku ya kupiga kura october 25,umejiuliza ni kwanini unamchagua!? Unamfahamu? Umekula pesa yake? Unaamini atatekeleza kile alichoahidi? Unampenda tu? Ama kwanini!!?
OCTOBER 25 USIFANYE MAKOSA
Kura yako itasababisha kile unachokitarajia kutokea kitokee,unahitaji tutoke hapa tulipo tuelekee hatua nyengine nzuri zaidi? kura yako ndio itakayoleta mabadiliko hayo!
Tukapige kura tuwachague wale viongozi ambao tunaona watatuletea mabadiliko,watakaotuletea maendeleo na sio vinginevyo.
TUKUBALI MATOKEO
Uchaguzi wa mwaka huu ni tofauti na miaka yote kiukweli kabisa,mwaka huu ile hamasa imekuwa kubwa mno naweza kusema kile kizazi cha Digital hakitaki mchecho wanachotaka kuona mambo yanaenda sawa na si ubabaishaji.Kama ambavyo tunatokea wengi kwenye kampeni tunapaswa kutokea wengi kwenye kupiga kura pia.Jambo la kuzingatia ni kwamba tukubaliane na matokeo yatakayotokea kwa zile kura tutakazopiga.
Ili tuweze kuendelea kuilinda amani yetu tuliojaaliwa na Allah.
+255 MUNGU IBARIKI TANZANIA
Share:

Oct 15, 2015

ZUKU TV TANZANIA VIFURUSHI NA BEI MPYA


 Tsh 75000/= Unapata king'amuzi kikiwa na muda wa kuona wa mwezi mmoja.
Inakuwa na vifaa vyote kama:Dish,Decoder,LNB,Cable na stendi.
HII INAKUWA BILA UFUNDI 
Kwa sasa kuna vifurushi vinne tu navyo ni kama ifatavyo:-
  1. ZUKU CLASSIC TSH 15,500 Per Month - Channels 69. Bofya hapa
  2. ZUKU PREMIUM TSH 22,500 Per Month - Channels 100. Bofya hapa
  3. ZUKU ASIAN TSH 24,000 Per Month - Channels 27 Bofya hapa
  4. ZUKU ASIAN ( yenyewe ) TSH 32,000 Per Month - Channels 33 Bofya hapa
Kwa maelezo zaidi ama msaada kiufundi.
+255659161111/789476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita