Kwa channel za nyumbani Tanzania si zote ambazo zinapatikana kwenye Satellite Dish Antenna,kwa sababu TV station nyengine wanatumia Transmeter kurusha matangazo yao hivyo channel yeyote ambayo inatumia Transmeter haipatikani kwenye Dish,nikiwa na maana ya kuwa itakulazimu utumie Antenna ya kawaida.
Zijue channel ambazo zinapatikana kwenye Satellite Dish Antenna:-
Zijue channel ambazo zinapatikana kwenye Satellite Dish Antenna:-
*ITV,EATV,CAPITAL
*STAR TV
*ATN
*TBC
*CHANNEL 10
NB:Hii ni kuanzia Satellite Dish Antenna inayoanzia futi 6 na kuendelea na LNB itumikayo ni C band.