Call / WhatsApp +255673378129

Mar 15, 2011

DISH INAPOTUMIKA NA WAJENZI....!!

Hilo hapo chini ni Dish Antenna aina ya c band,unaweza ukasema pengine anashughulika ili watu waone picha but c kama udhaniavyo...!!




Mimi niliishia hapa ila kilichoendelea nadhani hata wewe mwenyewe unapata picha...!!
Share:

Feb 3, 2011

AJALI WAJAMENI...!!

Kilichotokea hapa hakuna anayejua,hii nimeipata katika pita pita zangu mtandaoni lakini dah..!!
hapa inavyoonyesha jamaa hakuweza hata kutumia kama paa matokeo yake alienda kupima kule kwenye vyuma chakavu..!! 
Share:

Jan 20, 2011

Poleni sana wadau....!!

Baada ya mbio za mbali na nyumbani sasa nimerejea kama kawaida...!!
Huku nikiwa nimeona na kujifunza meengi,kiukweli nimeongeza vitu vingi kwa muda mchache ambapo awali nilikuwa sina mawazo hayo,naomba niishie hapa najipanga ili tuweze kushea kile ambacho nimepata.....!!!
Zaidi ya yote samahani wale wote waliokuwa wanapata usumbufu jinsi ya kunipata ila email ni nyingi sana lakini zote nitazijibu wala msijali...!!
Share:

Jan 10, 2011

nimewamiss sana wajameni...!!

ebwana dah....!!
Kitambo kidogo sipatikani hewani kwa no.za tz huku wengi nikiwapa shida jinsi ya kunipata na lawama zikiwa zimejaa gunia..!!
Nipo sehemu ambayo ni nadra sana kukutana na mtu mwenye ngozi kama yangu nyeusi,pia kiswahili ndicho hakisikiki kabisaaa...!!
Ila ni mbio tu i wish nitakuwa home soon banaa....!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita