Call / WhatsApp +255673378129

Oct 10, 2009

MUSTAPHA ISMAIL HANYA















Kitaaluma naitwa Mustapha MaDish na hii ndio sehemu sahihi ya kuonyesha kile kilichofanya nikaitwa Mustapha MaDish... Yote haya nafanya kwakuwa napenda kile nifanyacho kwa lugha nyepesi naipenda kazi yangu na siku zote ukiipenda kazi yako utaifanya kwa juhudi zako zote bila kusimamiwa na mtu!
Nilikuwa na wazo hili na nashukuru mungu leo nalitimiza,nitakapofanikiwa hili nitakuja na lengine zuri zaidi!
Ijapokuwa changamoto zilikuwa nyingi na haijawa kazi nyepesi hivyo ila nimefanikiwa nashukuru Mungu!
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa nakumbukia na nikaona si vibaya nikakumbuka kwa kuzalisha kitu hiki kizuri kila itakapofika siku kama ya leo nikumbukie vitu viwili kuzaliwa mimi na kuzaliwa hii blog hapa!
NAPENDA KUKUKARIBISHA ILI TUSHIRIKI PAMOJA!
Bila wewe niseme ile ukweli siwezi kufikia lengo,siwezi kufanya mwenyewe bila ushirika wako..
nnachokuomba tusafiri pamoja katika safari hii..
Hapa utapata kujua yote yanayohusu Madish nikizungumzia madish nazungumzia yale yote ya bure na kulipia,utapata kuyajua kiundani zaidi na hata utakapohitaji kufungiwa ama kufanyiwa repair hapa wataalam wapo wa uhakika!
Kwa maelezo zaidi piga namba +255658046655
Mustapha MaDish

Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita