Call / WhatsApp +255673378129

Aug 1, 2015

TUMERAHISISHA | THAMINI UWEPO WETU | ZINGATIA MUDA


TUMERAHISISHA..
                         Upatikanaji wa taarifa na huduma kwa ujumla kuhusu ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania na nje ya Tanzania,baadhi ya ving'amuzi ni;-
                          DStv,Azam tv,Zuku tv,Startimes,Digitek,Continental,Ting,n.k
Tunajua kiundani kuhusu ving'amuzi vyote,hivyo huwa tunatoa ushauri wa kina kuhusu king'amuzi gani kizuri kwa mapenzi ya channel utakazo tukizingatia ubora wa huduma na king'amuzi husika!
Ambacho tunajivunia hakuna aliyepitia kwetu akajuta kwakuwa huwa tunasimamia ukweli na ubora katika kumshauri mtu kufanya maamuzi ya kununua king'amuzi.
THAMINI UWEPO WETU..
                         Ingawaje tupo kazini ila kwa 70% tunachokifanya ni kukurahisishia wewe na ukizingatia ni mapenzi yetu kwa ukanda huu hivyo basi inakupasa uthamini uwepo wetu kama ambavyo tunathamini uwepo wenu.Wapo mnaodhani tupo kwa ajili ya kupata pesa tu lakini ukizama utajua ninachomaanisha,leo hii tuna base kubwa si Tanzania tu wala Africa,sizungumzii Africa mashariki pekee tupo na wadau mpaka state wanajua Mustapha Madish anafanya nini na team kazi yake,Napata simu toka kwa wadau toka ndani ya Dar es salaam,nje ya Dar na nje ya Tanzania pia si kila anayenipigia simu anataka kununua king'amuzi ama si kila anayetembelea blog yetu anataka king'amuzi,wapo wanaotaka kupata ushauri,wapo wanaotaka kujifunza zaidi,wapo ambao wanatoa pongezi ila pia wapo wanaotaka huduma pia,tumeshafanya kazi na wadau wakiwa nje ya Tanzania kiunganishi ikiwa hii blog.Hakuna kampuni ya king'amuzi kwa hapa Tanzania kinachofanya tunachofanya..
Kupiga simu ukiwa ulipo kuchagua king'amuzi kuja kufungiwa na malipo unafanya ukiwa hapo hapo ulipo baada ya huduma
Kupewa msaada wa awali kujisaidia mwenyewe kabla ya fundi kuja kwako kufanya kazi ili umlipe.
Kupewa service bure ndani ya miezi mitatu bila malipo yeyote baada ya kufanyiwa Installation/Repair na Mustapha MaDish

ZINGATIA MUDA..
                      Hapa kunaleta shida kidogo naomba nitilie mkazo sana,namba zote zinazoonekana kwenye blog unaweza ukapiga na ukapata msaada ama ukitaka lazima uongee na Mustapha MaDish omba kufanya hivyo na utaunganishwa nae kama ikiwa aliyepokea si Mustapha MaDish.
Piga simu kuanzia saa mbili kamili asubuhi ( 08:00 ) hadi saa mbili kamili usiku ( 20:00 ).
SMS...
        Ikiwa unahitaji msaada wa aina yeyote/huduma yeyote jitahidi usitume sms badala yake upige simu,sms iwe whatsapp ama ya kawaida.Isipokuwa kama itatokea umepiga na tukakutumia sms kama utume sms ama upige baada ya muda hapo unaweza ukajibiwa text zako izingatiwe tu si kwa wakati wote,hii inatokana na ukweli kwamba tunapokea text nyingi sana hivyo sizote tunazoweza kujibu hasa kwa wakati,ukihitaji huduma kwa wakati piga simu.
EMAIL..
        Zinapokelewa na kujibiwa pia kwa wakati hivyo unaweza kutuma bila shaka.

PIGA SIMU SASA +255714973797
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita