Call / WhatsApp +255673378129

Sep 1, 2015

WAPENZI WA SOKA WAZIDI KULIA


Kwa siku kama nne hivi nimepokea simu nyingi sana zinazouliza kama kuna namna nyengine ya kuangalia mpira wa ligi za nje tofauti na dstv,sababu nikiuliza ni nini jibu jepesi sana ni kutokana na licha ya wadau kulalamika malipo ya mwezi yapo juu imeongeza tena toka leo hii tarehe moja na mbaya zaidi katika kifurushi cha Compact Plus hakuna tena kuona mpira kama ilivyo awali hii inamaanisha ili uangalie mpira ni lazima kulipia package ya Premium.
Kuhusu jibu njia gani nyengine ukiacha dstv unaweza ukaangalia mpira mimi naweza kusema hakuna ijapokuwa zipo,kwanini nasema hakuna ijapokuwa zipo,zote zilizopo hazina uhakika.
Kama ligi ya la liga unaweza ukaiona kupitia azam katika channel ya azam sport HD kwa tsh 15000 ambapo inakupa jumla ya channel 4 za michezo.
Wadau wanatamani kuona inatokea kampuni ambayo itakuwa unaonyesha mipira yote kwa bei nafuu tofauti na ilivyo sasa.
Bein Sport wapo ila baadhi ya mikoa ndio inakamata,ambapo watanzania na wapenzi wa mpira walitamani ipatikane kama ilivyo awali ilipokuwa Aljazeera.
+255789476655
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

TҺis piece of wrіting is really a pleasant one it helps new net users, who are wiѕhing for blogging.


my paɡe; temp

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita