Call / WhatsApp +255673378129

Oct 24, 2016

MAFUNDI WA AZAM TV

 Azam tv iliyofungwa na fundi kalipua ndo hiyo ya kwanza hapo na Azam tv inafungwa na Fundi makini ndo hiyo hapo inamaliziwa na mikono salama ya Chidy kuelekea Signal Quality Tv!
Kupata Moja ya Mafundi Makini wa Azam Tv Piga +255789476655
Achana na akina Fundi kalipua sehemu ya kudril wao wanapiga misumari,matokeo yake Signal inakuwa haina uhai ukija upepo picha inakatakata!
Ukifungiwa na sisi utapata miezi mitatu bure baada ya kufungiwa kama itasumbua utarekebishiwa pasipo kutoa gharama yeyote!

Mapicha Picha Imo!!

MusTapha MaDish
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita