Call / WhatsApp +255673378129

Jun 4, 2017

CHANGAMKIA NAFASI ZA KAZI MKOANI KWAKO


MADISH TECHNOLOGY INAHITAJI VIJANA ( sales ) WACHAPA KAZI WAPATAO 16 KWA MIKOA IFATAYO:-
  • Arusha
  • Dar es salaam
  • Dodoma 
  • Mbeya
  • Morogoro
  • Mwanza
  • Tanga
  • Zanzibar
Wenye sifa zifatazo:-
  1. Uwe mtanzania
  2. Uwe na umri 23 - 30
  3. Uweze kuandika na kuongea vizuri kiswahili na English
  4. Uwe na Elimu kuanzia Diploma na Computer
  5. Uwe mwenyeji wa mkoa uliopo
  6. Uwe tayari kusafiri inapohitajika
  7. Uwe mchapakazi mwenye kuweza kufanyakazi bila kusimamiwa
  8. Uwe na wadhamini wawili
Tuma CV kwenye email: mustaphamadish@gmail.com
NB:Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 25/06/2017

Kwa maelezo zaidi piga +255789476655
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita