Call / WhatsApp +255673378129

Jun 25, 2017

OFFER YA DSTV MSIMU WA SABASABA



PATA OFA YA SABA SABA NA DStv !
Msimu wa maonyesho ya Biashara ya SabaSaba umewadia rasmi ambapo DStv wanapatikana pale kwenye viwanja vya SABA SABA wakiwa na OFA za kipekee kwenye Msimu huu.
Ni Ofa Kabambe,
Ofa ya Kujiunga na DStv kwenye Banda lao la SABASABA ni
• Kwa sh. 69, 000 Utaunganishwa na DStv, kifurushi cha DStv Bomba mwezi mmoja BUREE na Ufundi BUREE!
• Kwa sh.100, 000 utaunganishwa na DStv na kupewa kifurushi cha Bomba miezi miwili BUREE pamoja na ufundi BUREE!
• Kwa sh. 300,000 utaunganishwa na DStv na kupewa kifurushi cha Bomba mwaka Mzima BUREE na ufundi BUREE!

Pia kuna OFA ya Dekoda zenye uwezo wa kurekodi vipindi, ‘kurewind’ na ‘kufoward’ – Explora PVR Decoder
• Kwa sh.185, 000 utapata Explora Dekoda na kifurushi cha Compact mwezi 1 BUREE!
• Kwa sh. 270,000 utapata Explora Dekoda, Smart LNB na kifurushi cha Compact mwezi 1 BUREE!
• Kwa sh. 321, 000 utapata Explora Decoder, Smart LNB, Dish na Kifurushi cha Compact mwezi 1 BUREEE pamoja na kuungashiwa BUREE!
Ufanye Msimu huu wa SABA SABA kuwa wenye maajabu kwa Familia yako kupitia vipindi vya kipee na vya kusisimua kwenye DStv! Fika sasa kwenye Banda la DStv SABA SABA uwahi OFA Hizi!

Kwa maelezo zaidi
+255789476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita