Call / WhatsApp +255673378129

Feb 22, 2018

CHANNEL ZA TANZANIA NI BURE KWENYE VING'AMUZI

Imekuwa kuna kuulizwa kila siku na watumiaji wa ving'amuzi ni kwanini local channel hazibaki kwenye ving'amuzi baada ya kifurushi alicholipia kuisha, wakati huo huo ving'amuzi vyengine channels za local zinabaki!
Ni kwamba channels zinazotakiwa kubaki hata kama kifurushi chako kimeisha ni sita ambazo ni:-
  1. TBC 1
  2. ITV
  3. Start tv
  4. Clouds tv
  5. Channel 10
  6. EATV
Kwa ving'amuzi vinne tu ambavyo ni:-
  • Continental
  • Digitek
  • Startimes
  • Ting 
Ikiwa kuna tofauti yeyote unayoipata inayopingana na taarifa hii unapaswa kutoa taarifa kwa mamlaka husika kwa kufata utaratibu huu:-
 Kama una swali lolote piga
+255789476655
Kuanzia saa 2:00 asubuhi - saa 2:00 usiku
Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Startimes hawaachi zaidi ya tbc tu

Unknown said...

Jaman star times inabaki tbc peke yake
Hivi Digitech arusha inakamata kweli

Anonymous said...

Kwanini dstv na azam havipo kwenye list?

Anonymous said...

I enjoy reading an article that can make men and women think.
Also, thank you for allowing for me to comment!

Website: http://herb24.space

Unknown said...

Nimekuwa sipati hizo Chanel hata siku Mona Kwa king'amuzi cha star times card namba 01819017767 walinijibu mpaka nilipie mpaka Leo sipati

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita