UNAHITAJI MAFUNDI WA KUFUNGA DISH KWA CHANNEL ZA BURE AMA KULIPIA!?
Upo mkoa gani,swali la kwanza la mimi kutaka kujua!
Kama upo Dar es salaam utapata fulsa ya kuhudumiwa nami ama moja ya wataalam wangu ila kama upo nje ya Dar es salaam nitakuunganisha na mafundi wenzetu walio katika mikoa hiyo na utapata huduma kanakwamba umehudumiwa na Mustapha...
Oct 19, 2010
Oct 10, 2010
Sanaa Mapenzi Yangu!!
Sifanyi sababu fulani anafanya ingelikuwa hivyo kitaambo ningelikuwa miongoni mwao,ila mapenzi yangu toka ku moyo zaidi ya yote Vipaji nilivyojaaliwa nataka kuvitendea haki.
Kimbia ukimbiavyo lakini mi nanyata so kama huna pumzi ntakukuta na kukuacha njiani,ntafika nikikungoja kukukaribisha lakini kamwe huwezi kuiba kipaji cha mt...
GERAFFE VIEW HOTEL - DAR

Kwenye ukumbi ambao upo baharini wanapaita JET 1,kilichotakiwa hapa ni kufunga Flat Screen na Dstv,nami bila hiyana kama kawaida ile mikono salama ukafanya yake!
* Geraffe View Hotel (DSTV)
Katika ukumbi huu wa JET 0ne
As usually.
Nafunga...
Easy TV
Kwa Tsh 200,000/=
Unapata na miezi mitatu bure!!
Inajumuisha Decoder,Antenna,Cable na Installations!
Kwa mwezi unalipia 9000/= unapata jumla ya Channels zote!
EASY TV ina jumla ya channels 32 ila zinazoonyesha ni 30 tu.
Movie 1
Movie 2
Movie3
Movie Arabic
Aljazeerah
CNN
BBC
CCTV4
UBC
Citizen
TBC...
LOCAL CHANNELS

FULL INSTALLATIONS
In Hotel.Apartment.Office.Home
Materials:
1.Receiver
2.Satellite Dish Antenna c band
...
Oct 9, 2010
DSTV EXTRA VIEW

Ni huduma ambayo haina muda mrefu sana ambayo naweza nikasema ni mpya toka DSTV inakuwezesha kuona channel 2 tofauti kwa wakati mmoja kwa kutumia decoder mbili ila a/c moja kinachozidi ni $10 tu ya malipo ya mwezi,pia unatumia dish moja ila LNB inakuwa ya njia 2 maana kila decoder...
Oct 7, 2010
HOTEL INSTALLATIONS
Tunachofanya ni kukubaliana na muhusika channel zipi anahitaji kutokana na mapenzi ya wateja,nikimaanisha channel pendwa,baada ya hapo tunainstall channel idadi iliyotakiwa then tunatengeneza master chumba maalumu,tukiwezesha vyumba vyote vya hotel kuingia channel zote zilizohitajika na kufanya kila mteja aliye chumba alichopanga kujibadilishia channel...
APARTMENT INSTALLATIONS
Wengi wanapenda kufunga DSTV huku local na channel nyengine zikiachwa kwa wapangaji wenyewe kama wanahitaji kutokana na ukweli kwamba wapangaji wengi wa Apartment si wenyeji wa Tanzania hivyo hawaoni umuhimu wa kuangalia channel za nyumbani wakiamini TBC inawatosha ambayo inapatikana...
C BAND SINGLE SOLUTION CABLE

Hiki ni kifaa ambacho kinauwezo wa kukabiliana na interfierence sehemu zilizo na minara mitambo mitambo nk.Pia kuna channel ambazo hazipatikani mpaka utumie Single solution cable c band LNB haijarishi kama kuna interfierence ama l...
TOFAUTI YA RECEIVER NA DECODER

Decoder ni kifaa kinachopokea Channel ambazo zipo fixed kwa mfano DSTV,ni lazima ziwe zinalipiwa na kampuni husika,hii inamaana huwezi kupata bure labda wenyewe waamue hivyo ama upite wizi.
Receiver ni kifaa kinachopokea channel zote zilizopo kwenye satellite,haijarishi...
Baada kufa GTV...!!

Ni wazi kwamba ni watanzania wengi wameathirika na uyeyukaji wa GTV wamejikuta wamebakia na Decoder wasijue wazifanyie nini huku wengine wakijipa imani ya kuwa ipo siku watarejea....!!Decoder ya GTV unaweza ukaitumia kwa kutumia dish lake lile lile unaweza ukaona channel zipatazo...
JUA USICHOKIJUA..........!!!

Kwa channel za nyumbani Tanzania si zote ambazo zinapatikana kwenye Satellite Dish Antenna,kwa sababu TV station nyengine wanatumia Transmeter kurusha matangazo yao hivyo channel yeyote ambayo inatumia Transmeter haipatikani kwenye Dish,nikiwa na maana ya kuwa itakulazimu...