Call / WhatsApp +255755949413

Jul 29, 2012

INSTALLATIONS YA TV ZAIDI YA 1!!

Hakuna sababu ya kufunga Dish zaidi ya moja ya aina moja kwa nyumba moja kwasababu tu una TV zaidi ya moja na unahitaji channels zipatikane kwa TV zote! Hii inatumika kama kwenye Hotel au Lodge lakini pia inaweza ikatumika hata maofisini ama hata nyumba binafsi!!Ambacho unapaswa kufanya ni kujua channel gani unataka na je ni za bure ama za kulipia...
Share:

Jul 28, 2012

CHANNELS ZA BURE!!

 Wengi wanapenda kupata channel ambazo hazina malipo ya mwezi,ambazo ukifunga inakuwa ndo umefunga labda iharibike dish na ahitajike fundi afanye ufundi wake!! Channels zipo nyingi sana ambazo hazina malipo ya mwezi ila ambacho huwezi zile channels zilizo hotest za...
Share:

Jul 20, 2012

Dish yako inasumbua!!??

  Dish c Antenna za tube ukasema ikileta mushkeri ushike bomba na kuzungusha!!Dish inahitaji ufundi na mafundi wake kama sisi!!Swali je dish yako inasumbua!!??Kama kupoteza signal!Picha kukata kata!Unataka kuhama!Umenunua uliponunua lakini huna mafundi wa kukufunga!Na...
Share:

Jul 1, 2012

DSTV OFFER!!!!149,000/=

Kwa Tsha 149,000/= unapata vifaa pamoja na Installations ya single view!! Then unachagua package uipendayo na kuilipia kwa utaratibu uliowekwa kama ifuatavyo:- Access $10 - Channels 40. Kama Tsh 16,000.Kwa offer unalipia 4 miezi. Family $20 - Channels 55. Kama Tsh 32,000.Kwa...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413