Call / WhatsApp +255755949413

May 31, 2017

UFUNDI UNAHITAJI UMAKINI

Kwanza ukishakuwa Fundi moja kwa moja unaaminika kwa taaluma uliyonayo hivyo mteja ama jamii kwa ujumla wanajikuta wanaona unachofanya ama kusema ndicho sahihi kutokana na wadhifa wako hata kama ni cha uongo… Binafsi niwape angalizo wateja na mafundi kiujumla kwanza nianze na...
Share:

May 28, 2017

SABABU ZA KING'AMUZI CHAKO KUZIMA GHAFLA

Hii nimejumuisha Ving’amuzi vyote iwe Azam tv,DStv,Startimes,Zuku,Continental,Digitek na hata Receiver za FTA kiujumla. Angalia kwenye orodha king’amuzi unachotumia kisha ukibofya utapata maelezo ya kina tatizo na nini unachopaswa kufanya.        ...
Share:

May 1, 2017

OFFER YA AZAM TV 2018

Azam tv inaendeleza kufanya vizuri na sasa ina Offer kwenye malipo ya mwezi! Bei ya kununua King'amuzi ni Tsh 135,000/= bila Ufundi wala Kifurushi Ufundi ni Tsh 30,000/= Vifurushi Bofya Hapa Offer unayopata ni: Kifurushi cha Tsh 15,000/= ambacho sasa kimekuwa Tsh 10,000/=...
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA WHATSAPP +255755949413